Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Ni kama nakuelewa hivi!!!.mama kalala na nyuka huku kajifunika shuka la kijani. means nyoka yumo ndani ya chama.. na mama kawaamini.
Ni kama nakuelewa hivi!!!.mama kalala na nyuka huku kajifunika shuka la kijani. means nyoka yumo ndani ya chama.. na mama kawaamini.
mama kalala na nyuka huku kajifunika shuka la kijani. means nyoka yumo ndani ya chama.. na mama kawaamini.



hawa jamaa saivi wanamuhujumu mamaAkila Job au PM??Wasaliti wa mama bado ni wengi nawengine ni washauri na watu wake wa karibu
Aliyelala na nyoka kwenye katuni ya KPSijamuona huyo mwanamke mnayemzungumzia..
uliochomoza maana yake ni kwamba yeye hajui kama ana maadui ndani yake lakini sisi watu wa nje tunawaona ... Nyinyi mashabiki wa jiwe mnamhujumu, including you , aamelala na maadui kama akina katelefone na mipango miji... wote wanamhujumuNgoja Bavicha waje!
Walimwambia Trump kuwa anavyohandle national issues zitamuangusha, akawa mkaidi! ona kilichomtokea,.... ONE TERM PRESIDENTTofauti na hapo atakuwa ni one term hopeless president.
Bashiru alikuwa anataka ampindue Mama immediately mwendazake alivyokata moto ila JWTZ wakaingilia kati kumuokoa Mama. Mama ana maadui wengi sana ndani ya Chama chake.walimwambia Trump kuwa anavyohandle national issues zitamuangusha, akawa mkaidi! ona kilichomtokea,.... ONE TERM PRESIDENT
Huyo ni Halima amelala na nyoka!Nyinyi walamba matako ya jiwe mnamhujumu, including you , aamelala na maadui kama akina katelefone na mipango miji... wote wanamhujumu
Acha kutupoteza lengo😅😅😂Mwanamke amelala na adui kajifunika nae shuka moja. Inawezekana hajui kama ana adui ndani ya shuka au anajua ila kwasababu adui hajaonesha makali mwanamke nae kamkubatia anaamini hata mdhuru.

