mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 8,058
- 3,755
Lumumba ni majoka
Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.
Anataka kutueleza nini KP?View attachment 1752383
Hakuna mwanaccm anaeweza elewa hiyo kituKwani wewe umeelewa nini na ulumumba wako.
Af nyoka kapewa mgongo ...mh mh mh!!Mwanamke amelala na adui kajifunika nae shuka moja. Inawezekana hajui kama ana adui ndani ya shuka au anajua ila kwasababu adui hajaonesha makali mwanamke nae kamkubatia anaamini hata mdhuru.
Huyu Nyoka ni Majaliwa, Mama akiendelea kulea Nyoka ataambulia maumivu na hatimaye kifo.



we jamaa bhana una-dare kutaja jina kabisa aiseeUna maanisha "KAZI" aka sabwufaHuo Mkia ni yule kichaa wa Mirembe
@johnthebaptist jamaa unatajwa hukuLumumba ni majoka
Fafanua maana ya "adui" kumbuka nyoka ni wakijaniMwanamke anawakilisha kiongozi wa juu mwanamke.
Nyoka anawakilisha adui
Unganisha hapo utaelewa kionacho endelea bungeni.
Tumeanza maandizi ya futari 2025.


Kama nani vileeeAnamaanisha mama ajiangalie ana watu ambao si wazuri ndani ya serikali yake





You nailed it !!!Inamaanisha wanaCCM wanamuhujumu Bi. Mkubwa??
Huku Kuna wengine wanahangaika kurudisha akili zaoView attachment 1752545
