Aliyemtisha Lukuvi huyu hapa!!

Aliyemtisha Lukuvi huyu hapa!!

ubarikiwe thamadheo ndiyo ilivyo zote ni kodi za wananchi ukiwemo na wewe. Cha msingi ni kujenga hoja ikakubalika. wapo wawaziri ambao walishindwa kujenga hoja na wakapata miradi kwa wananchi wa jimbo lake hivyo Lukuvi apongezwe kwa ujenga hoja kwa ajili ya jimbo lake. Maendeleo kila mtu anatakiwa ajitafutie mwenyewe baada ya kutatiwa fursa kama barabara nk
 
Huyu jamaa angejaliwa madarasa angekua kichwa sana. Sijui nani alimdanganya kwa kua ana akili ya kuzaliwa atafute tu vyeti fake. Namshauri kama ana tamaa ya vyeti asome tu kiukweli elimu haina umri. Hii mambo ya fix inamletea tu aibu.
 
kwa kauli ya huyu kibaraka wa lukuvi ,querauk anatuthibitishia kwamba lukuvi ni std 7? shame on her!!!!!!!!!!!!!!
 
Afsa mie sio kibaraka wa mtu na wala sijadhititisha kuwa huyo mnayemwandama ni std seven. kama kweli ni standard seven kama usemavyo basi elimu ya miaka hiyo ilikuwa juu kuliko PhD yako ya sasa
 
shame on you too mr juu kwa juu. mie sio mnafiki kama unavyofikiria kwa ubongo wako uliooza, huoni barabara za mkungugu chamdindi, ikengeza mwawidi hadi pawaga. unataka lukuvi aje akulimie shamba ndo useme anafaa. serikali inashughulika na miundo mbinu ya kuwasaidia watu wake kujikwamua kiuchumi. asubuhi mnaamkia ugimbi shambani hamendi na njaa inawapata unataka mbunge akupe chakula. Kama kweli wewe umesoma basi umehudhulia shule tu na kujua kaandika juu kwa juu bila kufukiri kama jina lako lilivyo.
Hakuna mtu wa kuhonga ili kupindisha ukweli wewe ndo umechukua chako mapema na ulaaniwe kabisa kwani hufai kabisa.
Mungu akubariki na akuongezee busara na upendo kwa watanzania wenzio

Miundombinu gani wewe?kama barabara ya Iringa to Dodoma via Migoli na Isman ni fedha za ADB,Vijiji vya Izazi,Nyegere,migoli,makatapola na nyang'oro wanakunywa maji ya madimbwi,mahali wanapokunywa ngedere na punda ndo binadamu wanapata,ameshndwa kusafirisha maji safi ya visima ktk vijiji,maisha n magumu..amejaa kiburi na matusi kwa Wananchi wake!Lukuvi ni janga...anawatesa wana wa Ismani..kwa miaka karibu 20 bungeni hakuna jema kwa raia wake!HUKUMU YAKE NI 2015
 
Miundombinu gani wewe?kama barabara ya Iringa to Dodoma via Migoli na Isman ni fedha za ADB,Vijiji vya Izazi,Nyegere,migoli,makatapola na nyang'oro wanakunywa maji ya madimbwi,mahali wanapokunywa ngedere na punda ndo binadamu wanapata,ameshndwa kusafirisha maji safi ya visima ktk vijiji,maisha n magumu..amejaa kiburi na matusi kwa Wananchi wake!Lukuvi ni janga...anawatesa wana wa Ismani..kwa miaka karibu 20 bungeni hakuna jema kwa raia wake!HUKUMU YAKE NI 2015

Ongezea IRINGA miti Kibao lakini wanafunzi wanakaa Chini.
 
Nimepita njia ya Iringa To Dom kupitia Migoli na Mtera.....kwa kweli maisha ni magumu sana sana...watu wamekosa matumaini kwa kweli,ni maisha magumu!huduma nyingi za jamii zinahudumiwa na mashirika ya dini na hasa Kanisa Katoliki!kuanzia shule,maji na hospital
 
shame on you too mr juu kwa juu. mie sio mnafiki kama unavyofikiria kwa ubongo wako uliooza, huoni barabara za mkungugu chamdindi, ikengeza mwawidi hadi pawaga. unataka lukuvi aje akulimie shamba ndo useme anafaa. serikali inashughulika na miundo mbinu ya kuwasaidia watu wake kujikwamua kiuchumi. asubuhi mnaamkia ugimbi shambani hamendi na njaa inawapata unataka mbunge akupe chakula. Kama kweli wewe umesoma basi umehudhulia shule tu na kujua kaandika juu kwa juu bila kufukiri kama jina lako lilivyo.
Hakuna mtu wa kuhonga ili kupindisha ukweli wewe ndo umechukua chako mapema na ulaaniwe kabisa kwani hufai kabisa.
Mungu akubariki na akuongezee busara na upendo kwa watanzania wenzio

Acha umburula ww sis wenyew tunasema hakuna alichofanya ww n nan ambae unalijua sana jimbo letu me nataman ningekua naishi Arusha au Mwanza
 
.Querauk, we unafikiri kwa kutumia nini, vijiji unavyosema ni sehemu ya mradi wa barabara ya lami ya arusha dodoma hadi iringa . Ni mradi wa kimataifa wa mtandao wa lami toka cape town to cairo. Unazungumzia pawaga na wakati barabara ina mashimo na baadhi ya vijiji vya pawaga huwezi kufika kwa sasa mfano kinyika, isele na magombwe. Hali ni mbaya huko idodi. Na isimani ndani huko. Umelewa hongo wewe, acha kuzungumza kitu ukiwa dar. Unasikia tu fika hapo ili ijiridhishe au uone. Unampa mtu sifa ambazo hana. Kama ni kusaidia watu kupata mahindi ya msaada kwa ajili ya njaa hapo sawa. Lakini njaa hiyo kasababisha lukuvi mwenyewe. Ok. Endelea kumsaidia ili mwisho wa mwezi ukinge zako upone njaa yako. Maana inaonyesha una njaa mbaya. Unategemea kupata chochote kwa shida za wana isimani pole.
 
Lukuvi hajawahi kupata degree hata moja ni darasa la saba. Juzi juzi tu aliposikia Kikwete anataka kumtema baada ya kuingia kipindi cha pili cha urais jamaa alienda Open Univ akaonga walimu na kila jioni alikuwa akionekana na pale kama mwanafunzi kumbe watu wanamfanyia mambo. Siku moja baada jamaa yake kuacha kazi akapewa mwl mwingine lakini yule mwl akamwambia mbona file lako ni tupu sioni kazi yeyote Lukuvi akaja juu na kumwomba na kumkatia kitita. Lukuvi hawezi kuandika hata sentinsi moja ya kiingereza. Kama anabisha ajitokeze nitoe zaidi.

Lukuvi ni kihiyo kweli lakini hii stori ya UONGO
 
Msije mkasikia kuwa kafukuzwa chuo kwa kikosa kidogo cha kusahau kufunga kishikizo cha shati huku sehemu ya kifua ikionekana..teh..teh.teh....ndiyo Bongo yetu ya visasi.
 
Umepata jina lake mkuu, hiki si cha kuacha kipotee kirahisi, ni kichwa cha kuandaliwa kujiunga na timu ya wapambanaji.
 
Yule Nicholaus Ngowi (mtoto wa seremala), ambaye Lukuvi alimtisha kwa kumfananisha na Lema kutokana na maswala mazito aliyomuuliza Lukuvi, Star tv. Ngowi amejitokeza Star tv live jumamosi asubuhi na kumuasa Lukuvi juu ya kuwa na majibu mepesi kwenye maswala mazito.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom