dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,054
mm gari ningechukua kiroho safi ila mke tungeachana na ningempa baraka mchizi akamuoeSasa wanaume humu wengi mmesema ni ulofa. Unaweza ukatae na bado wandelee. Sasa nani atakua lofa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mm gari ningechukua kiroho safi ila mke tungeachana na ningempa baraka mchizi akamuoeSasa wanaume humu wengi mmesema ni ulofa. Unaweza ukatae na bado wandelee. Sasa nani atakua lofa
HahahahahahahaaaaaMimi mtu akimtia mimba mke wangu akanipa LEXUS RX namuachia kila kitu kuanzia huyo mke na mimba yake..
Alaf mimi natembea zangu na lexus yangu
Una akili nyingi kama mm mkuu.Hata mimi gari siliachi, maana ukikataa haifuti ukweli kuwa umechapiwa. Nachukua ndinga then natoa talaka saba.
Kwa mwanaume wa kweli hii zawadi haikubaliki, hii ni dharau iliyovuka mpaka!Mwanaume mmoja Raia wa Nigeria
ambaye anaishi Afrika Kusini,
amenunua gari ya kifahari aina ya
Mercedes-Benz G-class, na kumpa
mwanaume mwenzake, ili kumuomba
msamaha kwa kumpa ujauzito mke
wake walipokuwa wakichepuka.
Gari aina ya Mercedes-Benz G-
class.
Mwanaume huyo aliyejulikana kwa jina
la John, amenukuliwa na moja ya
mtandao wa habari wa Afrika Kusini
unaoitwa Daily Live, akisema kwamba
mume wa mchepuko wake huyo
alimsamehe mara tu baada ya
kumkabidhi gari hiyo.
“Najua nilichokifanya sio kizuri, lakini
najisikia vizuri amepokea zawadi
yangu. Amekubali kuwa mke wake
ambaye ni 'girl friend' wangu ni
mjamzito na hivi karibuni atajifungua
mtoto wa kiume ambaye ni wa kwangu.
Mwanzoni alikuwa na hasira lakini
nilipompa gari hasira zake zilimuisha”,
alinukuliwa John.
Mtandao huo ulipofanya mazungumzo
na mwanaume mwenye mke wake
alinukuliwa akisema kuwa..... “Itakuwa
ni kosa kuniambia mi ni mpumbavu,
suala limeshatokea na hatuwezi
kulifuta, tulikaa chini tukayamaliza
kama wanaume, biblia imesema
tusamhe na kusahau. Siku zote
nilikuwa na ndoto ya kuendesha G-
Wagon, Krismas imekuja mapema
kwangu na familia yangu”.
Mwanaume huyo aliendelea kusema
kwamba ...”mtoto atazaliwa siku si
nyingi nami nitamjali kama mwanangu,
baba yake akitaka kumchukua
kumpeleka kwao Nigeria sitajali,
nitampa ushirikiano wote mke wangu,
hiyo ndio ndoa. Nampenda mke wangu
na sitamuacha kwa sababu ya ujauzito
wake wa bahati mbaya”.
Imetafsiriwa kutoka African Spotlight
Alafu kila ukiiendesha unamkumbuka aliyemgonga aliyekuwa mkeo tena bila ndom, yaani nyama kwa nyama na akakojoa ulipokuwa wewe unakojoa kihalali, alafu kukunyamazisha jamaa anakupa ndinga. Ni mwanaume feki utakubali haya mateso ya kisaikolojia.Mimi mtu akimtia mimba mke wangu akanipa LEXUS RX namuachia kila kitu kuanzia huyo mke na mimba yake..
Alaf mimi natembea zangu na lexus yangu
Mkuu kuna watu tunawashuhudia wanachapiwa na mke anaomba taraka hata buku hawapati..Alafu kila ukiiendesha unamkumbuka aliyemgonga aliyekuwa mkeo tena bila ndom, yaani nyama kwa nyama na akakojoa ulipokuwa wewe unakojoa kihalali, alafu kukunyamazisha jamaa anakupa ndinga. Ni mwanaume feki utakubali haya mateso ya kisaikolojia.
Hiyo gari siwezi iendesha!! Kuchapiwa tena mpaka mimba sio kitu kidogo kwa mwanaume rijari.
Afadhari yeye aombe talaka kuliko jamaa eti anipooze na gari.Mkuu kuna watu tunawashuhudia wanachapiwa na mke anaomba taraka hata buku hawapati..
Si bora nichukue ndinga ya maana nipozee maumivu...