Japo bata ni mkubwa na ana nguvu nyingi kulicho chura, atakae angamia ni bata maana kanyongwaa. Chura yeye anauwezo wa kuishi kwa mda fulani sehemu ambayo hakuna hewa.
Pamoja na hujuma zote na nguvu zote zinazotumiwa na hii serikali kumdomfisha mtu ambae hana hata jeshi bado amewakaba koo, hawapumuiiiii hata mate hawamezi. Ngoma bado mbichiii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.