white girl
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,361
- 400
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.
Tunaogopa bathtolaa na kuchomewa nyumbaa
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.
Mchanga na unataka kuoa? Tulia ukifikisha umri wa kuoa ndiyo ufikirie. Hakuna atakaye kubaki kuolewa kwa kichanga kama wewe ulivyosema.
ningekuja ila naogopa puu!!! puu!!!!
Tunaogopa bathtolaa na kuchomewa nyumbaa
Munkari,
Mimi sina munkari,ni kijana mtanashati,mpole na msomi.
Pia similiki bunduki/bastola.
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.
Ungeishia tu kusema unatafuta mtu ukitaja kabila unatisha watu
Mie nishapata mchumba bt hakuwa tayali kuishi nani akitaka 2gegedane tu.
mmmmh!!
tahadhari ya ufolisation na mushirization!Munkari,
Mimi sina munkari,ni kijana mtanashati,mpole na msomi.
Pia similiki bunduki/bastola.
Mie pia bado,natafuta mke,nahitaji kuoa nitulie. Mimi ni mchaga.