Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
JamiiCheck imefuatilia Taarifa hii na kujiridhisha kuwa si ya kweli
Sasa ni mwendo wa kuwekana vikwazo.
Walivyoona CHADEMA inafanyiwa figusi walijua itakuwa kwa CHADEMA.
Unaambiwa watu wanataka kutoroka kabisa kama ana kamatwa fulani na kuwekwa ndani itakuwa mimi.
Haya kazi kwenu mtachagua sasa msije shangaa mpaka aliyempigania kikatiba mstaafu CDF naye kafanywa kama wengine.
Sasa ni mwendo wa kuwekana vikwazo.
Walivyoona CHADEMA inafanyiwa figusi walijua itakuwa kwa CHADEMA.
Unaambiwa watu wanataka kutoroka kabisa kama ana kamatwa fulani na kuwekwa ndani itakuwa mimi.
Haya kazi kwenu mtachagua sasa msije shangaa mpaka aliyempigania kikatiba mstaafu CDF naye kafanywa kama wengine.