Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya wa Tabora Mjini apinga kustaafishwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,321
24,228
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Tabora mjini Bw. Komanya Erick Kitwala apinga uamuzi wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumstaafisha bila kumpa sababu .

Kesi aliyofungua Komanya Erick Kitwala ilisikilizwa mbele ya Mahakama Kuu ya Tanzania ambapo pia Komanya Erick Kitwala anataka arudishwe katika kazi aliyokuwa anafanya awali kabla ya kuteuliwa kuwa DC

Baada ya kusikiliza ombi la Komanya Erick Kitwala, jaji wa mahakama kuu mheshimiwa Lilian Mongela ameona muombaji ana hoja za kuridhisha kusikilizwa.
---

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA JUDICIARY

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA (MAIN REGISTRY)
AT DAR ES SALAAM

MISCELLANEOUS CAUSE NO. 03 OF 2023 IN THE MATTER OF AN APPLICATION FOR LEAVE TO APPLY FOR THE PREROGATIVE
ORDERS OF CERTIORARI AND MANDAMUS AND
IN THE MATTER OF THE LAW REFORM (FATAL ACCIDENTS MISCELLANEOUS
PROVISIONS) ACT, CAP 310 R.E. 2019; THE PUBLIC SERVICE ACT, CAP 298 R.E. 2019,
AND THE PUBLIC SERVICE REGULATIONS OF 2003
AND
IN THE MATTER OF AN APPLICATION TO CHALLENGE THE DECISION OF THE
PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO UNPROCEDURALLY
MAKE/FORCE THE APPLICANT TO RETIRE FROM PUBLIC SERVICE, DATED 15™ AUGUST 2022
BETWEEN

KOMANYA ERICK KITWALA ........................................................................... APPLICANT

VS

THE PERMANENT SECRETARY, PUBLIC SERVICE
MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE.................................. 1st RESPONDENT

THE ATTORNEY GENERAL.................................................................... 2nd

RESPONDENT
BOARD OF TRUSTEES OF THE PUBLIC
SERVICE SOCIAL SECURITY FUND....................................................... 3RD RESPONDENT
RULING
Dale of Hearing: 11 /05/2023
Date of Ruling : 23/05/2023


Considering the issues advanced by the applicant as establishing prima-facie case, particularly, on denial of the right to be heard, I find theapplication being proper, meritorious and adhered to the legal requirements for the grant of leave to apply for judicial review. I accordingly, grant the leave. The applicant shall file the main application for judicialreview within 14 days from the date of this Ruling. Costs to follow events.
Dated at Dar es Salaam this 23rd day of May 2023.
L. MONGELLA
JUDGE

SOMA HUKUMU YOTE :
Source : Komanya Erick Kitwala vs The Permanent Secretary, Public Service Management & Good Governance & 2 Others [2023] TZHC 17356 (23 May 2023)


Picha toka Maktaba
1685752384940.png

Bw. Komanya Eric Kitwala
 
Toka Maktaba :

29 December 2017

Ikulu, jijini Dar es Salaam

'Kamati ya Dk. Bashiru'

Wajumbe wa Kamati ya Kuhakiki Mali zote za CCM

Kamati hiyo ina wajumbe wana CCM tisa, wakiongozwa na Dk. Bashiru, iliundwa na mwenyekiti wa CCM taifa mheshimiwa Rais John Pombe Joseph Magufuli, Desemba 20, mwaka 2017 mjini Dodoma.

Wajumbe hao ni Walter Msigwa, Albert Msando, Galala Wabanhu, Albert Chalamila, William Sarakikya, Komanya Erick Kitwala, Dk. Fenella Mukangara na Mariam Mungula.



Katika Mazungumzo hayo Mhe. Rais Magufuli amewataka wajumbe wa kamati hiyo kufuatilia na kuhakiki mali zote za chama, kumhoji mtu yeyote ambaye atahitajika kutoa taarifa juu mali za chama na kubaini thamani ya mali, mahali zilipo, makusanyo ya mapato na wanaozishikilia ama kutumia mali hizo.

Mhe. Rais Magufuli pia ametoa wito kwa wanachama wa CCM na wananchi wengine kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa zote zinazohusu mali za chama kwa kamati hiyo, na watakaoitwa kuhojiwa waitikie wito huo.
1685756731554.png

“Nataka mali za chama zikinufaishe chama, nataka mkamhoji mtu yeyote, awe kiongozi, awe mwanachama, awe mfanyabiashara, mtu yeyote. Mkazihakiki mali zote ili chama kipate haki yake” amesema Mhe. Rais Magufuli.
 
Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Tabora mjini Bw. Komanya Erick Kitwala apinga uamuzi wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumstaafisha bila kumpa sababu .

Kesi aliyofungua Komanya Erick Kitwala ilisikilizwa mbele ya Mahakama Kuu ya Tanzania ambapo pia Komanya Erick Kitwala anataka arudishwe katika kazi aliyokuwa anafanya awali kabla ya kuteuliwa kuwa DC

Baada ya kusikiliza ombi la Komanya Erick Kitwala, jaji wa mahakama kuu mheshimiwa Lilian Mongela ameona muombaji ana hoja za kuridhisha kusikilizwa.
---

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA JUDICIARY

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA (MAIN REGISTRY)
AT DAR ES SALAAM

MISCELLANEOUS CAUSE NO. 03 OF 2023 IN THE MATTER OF AN APPLICATION FOR LEAVE TO APPLY FOR THE PREROGATIVE
ORDERS OF CERTIORARI AND MANDAMUS AND
IN THE MATTER OF THE LAW REFORM (FATAL ACCIDENTS MISCELLANEOUS
PROVISIONS) ACT, CAP 310 R.E. 2019; THE PUBLIC SERVICE ACT, CAP 298 R.E. 2019,
AND THE PUBLIC SERVICE REGULATIONS OF 2003
AND
IN THE MATTER OF AN APPLICATION TO CHALLENGE THE DECISION OF THE
PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TO UNPROCEDURALLY
MAKE/FORCE THE APPLICANT TO RETIRE FROM PUBLIC SERVICE, DATED 15 AUGUST 2022
BETWEEN

KOMANYA ERICK KITWALA ........................................................................... APPLICANT

VS

THE PERMANENT SECRETARY, PUBLIC SERVICE
MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE.................................. 1st RESPONDENT

THE ATTORNEY GENERAL.................................................................... 2nd

RESPONDENT
BOARD OF TRUSTEES OF THE PUBLIC
SERVICE SOCIAL SECURITY FUND....................................................... 3RD RESPONDENT
RULING
Dale of Hearing: 11 /05/2023
Date of Ruling : 23/05/2023


Considering the issues advanced by the applicant as establishing prima-facie case, particularly, on denial of the right to be heard, I find theapplication being proper, meritorious and adhered to the legal requirements for the grant of leave to apply for judicial review. I accordingly, grant the leave. The applicant shall file the main application for judicialreview within 14 days from the date of this Ruling. Costs to follow events.
Dated at Dar es Salaam this 23rd day of May 2023.
L. MONGELLA
JUDGE

SOMA HUKUMU YOTE :
Source : Komanya Erick Kitwala vs The Permanent Secretary, Public Service Management & Good Governance & 2 Others [2023] TZHC 17356 (23 May 2023)


Picha toka Maktaba
View attachment 2644108
Bw. Komanya Eric Kitwala
Sasa si ajiajiri
 
Sasa si ajiajiri

Anadai arudishwe kazini PSSSF (Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma) alipotolewa kupelekwa kamati maalum ya CCM kuhakiki mali kisha kuteuliwa na Rais wa awamu ya 5 JPM kuwa mkuu wa wilaya halafu baadaye kutenguliwa ukuu wa wilaya na rais wa awamu ya sita.

Habari Toka maktaba :
Wenzie watumishi wa umma kule chama cha walimu CWT walikataa teuzi za U-DC



 
Kwani huyo jamaa kabla ya kuteuliwa kuwa DC aliwahi kutuma maombi kwa nani?

Kama alipewa kwa hisani, basi pia ajue anaweza kuipoteza bila kupewa sababu zozote.

Rais amepewa mamlaka ya kuteua na kutengua kwenye nafasi zilizo chini yake bila kutoa sababu yoyote, ningemuona mjanja kama angeshinikiza hiyo sheria ibadilishwe, kwa kumtaka Rais atoe sababu pale atakapomteua fulani, au kumtengua.

Anachokifanya huyo jamaa kwa sasa ni sawa na kulilia arudishiwe kitu alichonyan'ganywa wakati hakuwahi kukiomba, kama alikuwa tayari kukipokea bila kuulizia sababu ya kupewa kwake, basi kikichukuliwa asiulize sababu pia.
 
Huyu Jamaa hajakataa kutenguliwa u-DC bali anataka arudi kwa mwajiri wake wa zamani PSSSF baada ya kutenguliwa u-DC. Hii ni haki yake hata kama HAMUMPENDI, haina kupepesa macho

Ilibidi kwanza arejeshwe kwenye kazi yake ya PSSSF, then ndipo "kumstaafisha kwa manufaa ya umma" kufuate.

Hayo "manufaa ya umma", yanahusiana na nafasi ya u-DC ambayo aliteuliwa na Rais na siyo kazi yake ya awali ya PSSSF.

Pengine kama Rais asingemteua kuwa DC asinge commit hiyo offence inayoathiri "manufaa ya umma".

Mamlaka ya Rais yana mpaka kwa wateule wake, hayako kama "blank cheque".

Na hii haitakuwa kesi ya kwanza kwa Mahakama kuwarudisha wafanyakazi waliotenguliwa na Rais. Kumbukeni wale Maafisa 5 wa Polisi (Man, Lymo, Walele et al) waliotenguliwa na B W Mkapa mwaka 1996.
 
Kwa nini asijikite kwenye kilimo?
Walimfilisi, hana mtaji

 
Back
Top Bottom