The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,399
Aisee, mkuu... Log out tu...Cna jinsi yakuelezea mapenzi yalivyo kwa sasa, but in short MAPENZI USENGE MTUPUU
Maana ulichoongea ni busara mwisho... Pumzika tu ndugu.
Wachache wanaelewa.
Aisee, mkuu... Log out tu...Cna jinsi yakuelezea mapenzi yalivyo kwa sasa, but in short MAPENZI USENGE MTUPUU
Ushauri wako ni mzuri sana, ila mke aliyekuacha kwa mbwembwe akaenda kuolewa huko akitaka mpe kidogo tu halafu mwambie hutaki tena kwasababu tayari wewe ni mume wa mtu.Huyo sio mtu, jiulize mpo wa ngapi kwa mtindo huo? na ameolewa.
Sijui mna mioyo gani mm nikishamalizana na mtu bila amani ndio kwa heri.
Halaf usitembee na mke wa mtu utaishia pabaya sana haijalish mlikua wapenzi huyo ni mali ya mtu sasa.
daah kweliNa hata uliye nae ni mchepuko wa mtu pia.
Mkuu kuna mambo kamis huko alikoenda ndio maana karudi kwako! ingelikua anapata yote basi usingemsikia akikurudia.Ushauri wako ni mzuri sana, ila mke aliyekuacha kwa mbwembwe akaenda kuolewa huko akitaka mpe kidogo tu halafu mwambie hutaki tena kwasababu tayari wewe ni mume wa mtu.
Na chain inasonga....Na hata uliye nae ni mchepuko wa mtu pia.
Wala ukimpata ulie pangiwa kuwa nae utaenjoy Sana ... NimAzuri mnooooCna jinsi yakuelezea mapenzi yalivyo kwa sasa, but in short MAPENZI USENGE MTUPUU
Kwahy unajiona mjanj we wakt mzinifu?Alinipiga chini miaka kadhaa iliyopita,mwaka mmoja baadae nikasikia ameolewa, kwa mara ya kwanza baada ya kuachana tumeonana mwaka mwezi uliopita, ndipo nikaamini ule msemo "WAPENZI HUWA HAWAACHANI "amekubali kuwa mchepuko wangu,ukioa aliyekuwa mke wa mtu tarajia haya Kwa 99.9%.
Dah!Sioni sifa ila nawashangaa wanawake wanaokimbia ndoa na kukubali kuwa mchepuko wa yuleyule aliyemkimbia.
Ni ungwana kukiri makosaMkuu kuna mambo kamis huko alikoenda ndio maana karudi kwako! ingelikua anapata yote basi usingemsikia akikurudia.
Huyo hakupendi ila imebidi tu arudi kwako...
Ni dhambi kumfanyia hivyo mwanaume mwenzako "mumewe" chukulia hili swala kama ww mkeo anafanya hayo mambo mkuu utajiskiaje?
Alinipiga chini miaka kadhaa iliyopita,mwaka mmoja baadae nikasikia ameolewa, kwa mara ya kwanza baada ya kuachana tumeonana mwaka mwezi uliopita, ndipo nikaamini ule msemo "WAPENZI HUWA HAWAACHANI "amekubali kuwa mchepuko wangu,ukioa aliyekuwa mke wa mtu tarajia haya Kwa 99.9%.