Anatumika ndio,kumbe ulikuwa hujui!!!hahahaha ivi mwanaume nae huwa anatumika??? kumsemea huo umbea sasa wakat mtu kahaidiwa kupewa utamu unasema nini sasa?
hahahaha kweli haki sawa ko soon nasi tutaanza lalamika kwamba kanitumia alipo nichoka kaniacha hahhhahahAnatumika ndio,kumbe ulikuwa hujui!!!
braza nimecheka sana hahahahahahaWewe Na huyo dem Ni Kama bashite Na john wote akili zenu zipo chini ya kiuno. Huyu kwa nyuma yule kwa mbele.
haaa haaa haaaa kwanini mkuubraza nimecheka sana hahahahahaha
Unaidhulumu nafsi nduguNi mwendo wa soksi ya mguu mmoja
Unajichanganya sana bro, ww hujawahi kumuoa huyo unayemwita mchepuko. Labda mm tu ndo sijakuelewa. Ungesema aliyemua mpenzi wako ss amekua mchepuko labda italeta maanaAlinipiga chini miaka kadhaa iliyopita,mwaka mmoja baadae nikasikia ameolewa, kwa mara ya kwanza baada ya kuachana tumeonana mwaka mwezi uliopita, ndipo nikaamini ule msemo "WAPENZI HUWA HAWAACHANI "amekubali kuwa mchepuko wangu,ukioa aliyekuwa mke wa mtu tarajia haya Kwa 99.9%.
Alikuwa mke wangu akaniacha na kwenda kuolewa na mwanaume mwingine, bado yuko na huyo mume wake ila na mimi.......Unajichanganya sana bro, ww hujawahi kumuoa huyo unayemwita mchepuko. Labda mm tu ndo sijakuelewa. Ungesema aliyemua mpenzi wako ss amekua mchepuko labda italeta maana
Mwaka haujaishaAlinipiga chini miaka kadhaa iliyopita,mwaka mmoja baadae nikasikia ameolewa, kwa mara ya kwanza baada ya kuachana tumeonana mwaka mwezi uliopita, ndipo nikaamini ule msemo "WAPENZI HUWA HAWAACHANI "amekubali kuwa mchepuko wangu,ukioa aliyekuwa mke wa mtu tarajia haya Kwa 99.9%.