kiongozi mmoja wa c.u.f
aliwahi kusema kuwa
kuna vyama vitakuja
kama uyoga na vitakufa
kama uyoga.hakuishia
hapo akaendelea kusema kuwa c.u.f ni
kama mti mrefu ambao
mizizi yake imejichimbia
mbalii chini,hivyo upepo
unaweza kuyumbisha tu
mti huwu na sikuung'owa.sasa
utaona kuwa kuna watu
wanatamani waone c.u.f
inakufa na hawo
wanajiita wapinzani
hizo ni ndoto za alinacha,watoke
watakaotoka waliobaki
wataimarisha chama
jamhuri ya mungano ni
baina ya nchi mbili
tanganyika na zanzibar tayari c.u.f iko ndani ya
serikali katika upande
mmoja wa jamhuri
ni hatuwa nzuri.
Natural Death...maneno ya hekima ya mwalimu..huyu sisi wazanzibar na wao watanganyika...itakuja sisi wapemba wao waunguja...na hii itawatafuna mpaka....mwenu siwapendi nyieee,MUNGU NISAMEHE.