gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,885
Yaani tayari ushaamini kwa kuwa tu ni narrative unayoipendaGenocide and crime against humanity hii haina namna
Yaani tayari ushaamini kwa kuwa tu ni narrative unayoipendaGenocide and crime against humanity hii haina namna
Its a reality sio ruala la narrativeYaani tayari ushaamini kwa kuwa tu ni narrative unayoipenda
Gari za taka kampuni gani?Dah hiyo ya gari za taka kutumika, nilihisi hivyo,maana baada ya maandamo gari za taka zilipita sana mitaani
Hapakua na maandamanoHamna mtu ana andamana ili afe. Hakuna sheria inasema waandamanaji wapigwe risasi
Katiba imeruhusu maandamano , wanaopiga risasi hovyo ni un professional bunch of idiots.
And this time international eyes zote zipo upon nchi hii. Watachagua wenyewe wazidi kujiaharibia or waweke sawa
Ya mwembechai?Damu ya mtu haiendi bure
Mlisema hivyo hivyo, now mnalalamikia EU. How about that?Hapakua na maandamano
Walikua wahalifu, EU wanatakiwa waelewe hiloMlisema hivyo hivyo, now mnalalamikia EU. How about that?
Kwamba ukishangaa unapigwa risasi,kwa hiyo walitolewa mahabusu wakapelekwa mwananyamala kufuata maiti juu ya gari la taka wakazike!?Its a reality sio ruala la narrative
Ndo maana hawatoi majibu kuhusu hilo swala, wanalipotezea kabisa. Wameona waliache tuHata alieweka ushahidi mmesema ni AI . Uzuri tumeshathibitisha ndugu zetu wako Kondo.
Moja ya kitu kitasababisha vyombo viendelee lindwa ni mauaji ya 29/10Vyombo vya uchunguzi vikae rada sana pale kondo..........kuna miili zaidi ya 300 imezikwa.....Nilitoa taarifa mapema sana kuwepo kwa miili kabla hata ya CNN kuwaumbua........Nimeshuhudia kwa macho ndiyo maana nikawa na guts za kusema hivyo...Zoezi lilifanyika usiku mnene.
Hata kama wakifukua ili kupoteza ushahidi vyombo vya uchunguzi vikafanye uchunguzi mapema na kuhifadhi footage kwa ajili ya kutumika ICC ,hao WAHUNI wameua watu sana.
Hapakua na maandamano
Hapakua na maandamanoYes, kwa sababu maandamano yanalindwa na katiba.
Usijali boss. Everything is under control. They won’t get away with thisVyombo vya uchunguzi vikae rada sana pale kondo..........kuna miili zaidi ya 300 imezikwa.....Nilitoa taarifa mapema sana kuwepo kwa miili kabla hata ya CNN kuwaumbua........Nimeshuhudia kwa macho ndiyo maana nikawa na guts za kusema hivyo...Zoezi lilifanyika usiku mnene.
Hata kama wakifukua ili kupoteza ushahidi vyombo vya uchunguzi vikafanye uchunguzi mapema na kuhifadhi footage kwa ajili ya kutumika ICC ,hao WAHUNI wameua watu sana.
Etiiii..!!!Muna Love ame-share screenshot ya moja ya ndugu wa aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini baada ya maandamano ya Oktoba 29 akidai kuwa walitumika kubeba miili ya waliuawa kwenda kuwazika kwenye makaburi ya pamoja huko Kondo ambako hata ripoti ya uchunguzi ya CNN ilieleza uwepo wa makaburi hayo.
"Dada Muna, katoka mdogo wangu lakini naogopa kukwambia walichomfanyia huko ndani. Dada, ukihadithiwa huwezi kusikiliza hadi mwisho. Hatujisikii kuwa katika nchi—hapa tupo kama kisiwa cha mauaji. Nataka nikwambie ili dunia ijue, maana huku tumezibwa midomo; sehemu ya kusema hatuna kabisa."
"Yaani huwezi kuamini, wao ndiyo wametumika kubeba maiti zilizokuwa zinaenda kutupwa, tena unabeba kwa masharti makali. Huruhusiwi kushangaa, ukishangaa unapigwa risa hapo hapo, mnapakia maiti kwenye magari ya taka mkimaliza mnalala juu yake tayari kwa kwenda kupakua makaburini kwa Kondo wamezika watoto wetu bila heshima kama Mbwa"
Magari mia 9 ni sawa na roho za watanganyika 20000?Yote haya ili mtu mmoja asiye na sifa wala maono abakie madarakani illegally. Halafu mtu anasimama na kuanza kutaja eti magari ya serikali 979 yaliharibiwa. Akiulizwa waandamanaji wangapi waliuwawa anajibu kwa kejeli "hakuna maandamano yasiyo na madhara"
Halafu eti ndiyo wanataka watu wasahau hivi hivi tu. Waridhiane!
View attachment 3507714
lakini pia jipe muda wa kutafakari pia kwa lile rundo la maiti zile ni nani angeweza kufanya ile kazi kwa ule muda mfupiNaam hakika wewe kweli ni Great thinker
Nakufuatiliaga sana mabandiko yako nakuappreciate Mkuu
Wale waliokuwa wanaziondoa mitaani ndo hao hao wangewezalakini pia jipe muda wa kutafakari pia kwa lile rundo la maiti zile ni nani angeweza kufanya ile kazi kwa ule muda mfupi
Kampuni ya waarabuGari za taka kampuni gani?