PostGE2025 Aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini adai walitumika kubeba miili ya waliouawa kwenda kuwazika Makaburi ya Kondo

PostGE2025 Aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini adai walitumika kubeba miili ya waliouawa kwenda kuwazika Makaburi ya Kondo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kwahiyo mkae huko muanze kutumiana meseji zenu za udaku msecreen shot kisha mzilete JF??

JF imekuja kuwa vipi now days,hata kama tuseme ni kweli watu wameuwawa na wanakwenda kuzikwa nani mwenye akili ndogo hivyo za kuweza kuwachukua mahabusu ambao anajua wazi watakuja kwenda uraiani watumike kwenye kazi inayohitaki usiri kama hiyo?kama kazi yenyewe kweli ingekuwa ipo?
Machawa mmeshashindwa hoja
 
Kwahiyo mkae huko muanze kutumiana meseji zenu za udaku msecreen shot kisha mzilete JF??

JF imekuja kuwa vipi now days,hata kama tuseme ni kweli watu wameuwawa na wanakwenda kuzikwa nani mwenye akili ndogo hivyo za kuweza kuwachukua mahabusu ambao anajua wazi watakuja kwenda uraiani watumike kwenye kazi inayohitaki usiri kama hiyo?kama kazi yenyewe kweli ingekuwa ipo?
Mkuu usiichukulie serious sana hii serikall, lolote linawezekana!.

Hata wakati wanaua hovyo tar 29 hawakujua leo watakuwa exposed kiwango hiki!.
 
Kwamba ukishangaa unapigwa risasi ?!!!!;
Sisemi huu ni uongo lakini kila habari tuichukue with a pinch of salt....
 
Muna Love ame-share screenshot ya moja ya ndugu wa aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini baada ya maandamano ya Oktoba 29 akidai kuwa walitumika kubeba miili ya waliuawa kwenda kuwazika kwenye makaburi ya pamoja huko Kondo ambako hata ripoti ya uchunguzi ya CNN ilieleza uwepo wa makaburi hayo.

"Dada Muna, katoka mdogo wangu lakini naogopa kukwambia walichomfanyia huko ndani. Dada, ukihadithiwa huwezi kusikiliza hadi mwisho. Hatujisikii kuwa katika nchi—hapa tupo kama kisiwa cha mauaji. Nataka nikwambie ili dunia ijue, maana huku tumezibwa midomo; sehemu ya kusema hatuna kabisa."

"Yaani huwezi kuamini, wao ndiyo wametumika kubeba maiti zilizokuwa zinaenda kutupwa, tena unabeba kwa masharti makali. Huruhusiwi kushangaa, ukishangaa unapigwa risa hapo hapo, mnapakia maiti kwenye magari ya taka mkimaliza mnalala juu yake tayari kwa kwenda kupakua makaburini kwa Kondo wamezika watoto wetu bila heshima kama Mbwa"


Vyombo vya uchunguzi vikae rada sana pale kondo..........kuna miili zaidi ya 300 imezikwa.....Nilitoa taarifa mapema sana kuwepo kwa miili kabla hata ya CNN kuwaumbua........Nimeshuhudia kwa macho ndiyo maana nikawa na guts za kusema hivyo...Zoezi lilifanyika usiku mnene.

Hata kama wakifukua ili kupoteza ushahidi vyombo vya uchunguzi vikafanye uchunguzi mapema na kuhifadhi footage kwa ajili ya kutumika ICC ,hao WAHUNI wameua watu sana.
 
Muda wenu vyombo vya habari mliodai shida ilikuwa ni mtandao kuwatendea haki hawa vijana. After all, mmebobea kwenye kuweka mizani kwenye habari, press mwende na huku pia mbalance
 
Hiii imetengenezwa hamna kitu humu kwamba huu ndo ushahidi???
 
Waache uchochezi wao yani ufanye jambo zito kama hilo halafu wakuache hivi hivi?

Wale watu walivyokuwa na roho mbaya na kuna watu wanaamini kabisa hao watu wanaojitumia sms wenyewe

Huyo Munalove anajua alichokifanya anatafuta tu validation kwa alichokifanya cha kutuingizia ndugu zetu kwenye tanuri la moto wakati yeye kajifungia nyumbani kwake
 
Hoja gani sasa za kijinga bizo,hana ushahidi anakuja na screen shot zake na shoga mwenzake anashare hapa na wewe unaziamini?

yaani serikali iwatumie mahabusu kwenye shughuli ya kufukia watu kwenye mass graves?teh teh teh...
Ange screenshot akiwa mahabusu? Si wanachukua kila kitu?
 
Kwamba ukishangaa unapigwa risasi ?!!!!;
Sisemi huu ni uongo lakini kila habari tuichukue with a pinch of salt....
Naam hakika wewe kweli ni Great thinker

Nakufuatiliaga sana mabandiko yako nakuappreciate Mkuu
 
Back
Top Bottom