Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,523
- 27,016
Wale wahenga wenzangu nani anamkumbuka pawa mabula? Nimekumbuka alivyokua anageuza makaratasi kuwa pesa
Kiini macho!
Wale wahenga wenzangu nani anamkumbuka pawa mabula? Nimekumbuka alivyokua anageuza makaratasi kuwa pesa
Utapeli in the making. Na waandishi wa habari uchwara wanao sambaza upuuzi huu wako complicit
Tuache maskhara. Miaka 26 ni mingi sana. Watuambie alikufa akiwa kijana au mtoto? Ikiwezekana walete na picha zake wakati akiwa hai.
Acha ukorofiAcha ukorofi, tukuletee picha kama nani... sisi tumefurahia marejeo ya ndugu yetu na tumepiga pilau na thoda!
Hayo ndio maendeleo ya kigomaNimekutana na hii habari. Mimi bado nina maswali mengi
=====
Kijana aliyefariki tangu mwaka 1994 amepatikana na kukukutana tena na familia yake
Mama yake amemtambua na kujiridhisha kuwa ni mwanaye baada ya kutambua baadhi ya maeneo ya mwili wake
Kijana huyo hana uwezo wa kuzungumza kwa sasa ingawa familia inaamini huenda akaweza kuzungumza tena
Imeelezwa kuwa kijana huyoalichukuliwa msukule na alikuwa akifanyishwa kazi tangu mwaka 1994
Wajuzi wa mambo mnasemaje?
Wewe sasa unatuangusha sisi wahenga, Power Mabula alikuwa naonesha michezo ya kutumia nguvu kama kuzuia gari au kuvunjiwa matofari kifuani, alikuwepo pia mwingine akiitwa Power Bernado, hao wa mazingaombwe walikuwa wengine,Wale wahenga wenzangu nani anamkumbuka pawa mabula? Nimekumbuka alivyokua anageuza makaratasi kuwa pesa
Naona kama vile unatukana wengi kwa kutujumlisha na sisi, kutoa sadaka kanisani inakuwa nongwa, mbona kwa waganga wa kienyeji mkienda mnatoa sadaka tena kwa masharti makali ??!!Sio muda wataanza kujitokeza waliomfufua huyu kijana ili waanze kukusanya sadaka za watu.
Nimechanganya madesa😁😁😁 mambo ya zamani sana hayo. Mambo ya darasa la kwanzaBWewe sasa unatuangusha sisi wahenga, Power Mabula alikuwa naonesha michezo ya kutumia nguvu kama kuzuia gari au kuvunjiwa matofari kifuani, alikuwepo pia mwingine akiitwa Power Bernado, hao wa mazingaombwe walikuwa wengine,