papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 501
Sheria sio soga za mtaani wewe, ..kinyume chake pia ni kua Kama mtuhumiwa angekataa na ushahidi upo usio na Shaka Basi angefungwa....hivo jaji hafuati mawazo binafsi..anafuata sheria na mwenendo wa kesi
Ni nani shahidi wa kweli kuliko alietenda kitendo na akikiri akiwa na akili timamu kwa vipimo vyote?
Kama ushahidi utosheleza kumfunga au kumuachia huru mtuhumiwa maelezo yake huhitajiwa kwa msingi upi?
Hapo hakuna sheria wala nini pananuka rushwa tu