vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,807
- 2,188
Soma ile habari vizuriii...!! Polisi wanatengeneza vipi mazingira kwani wao ndo wamemuua??? Kwamba jamaa aliekuwa anacheat nae ndo kamuua then katoa hela jamaa afungwe???
Mkuu ninani anayekamata na kukusanya ushahidi kwa mfumo wetu Tanzania? Ni vipi mpaka leo aliyehusika na Akwilina hajakamatwa etc... au mwenzetu unaishi Zimbabwe?