balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,490
- 12,631
Ataenda vipi jela wakati ushahidi umeshindwa kukidhi vigezo vya ushahidi usiotia chembe ya shaka? Comfession na admission siyo conclusive evidence kwamba mtuhumiwa aliua na aliua maliciously.Nadhani wakipatikana watu wa kukata rufaa na kuisimamia hiyo kesi huyu Jamaa anaenda jela maisha.