Hao ni wanawake na pia hawana dushelelee bhanaa
ndio kwanza naona! kweli kila sector inapitia mabadiliko!
"Kaeni mkao fulani hapo ukutani niwapige picha kwa ajili ya fesibuku, fanyeni kama wanaume wanakojoa ehee ekti vizuri basii haya tatu... mbili.... moja." CLICK! Ndivyo hiyo picha ilivyopigwa ili iwaumize ubongo kwa kufikiri 'is it possible?'
mbona mda sana jamani lolItakuaje hao wawe wanaume?
Kanuni haikubali wanaume wamiliki minyama mikubwa na minono'minono makalioni kiivo!
Wanaume kanuni yao ni pasi makalioni .
Nway wahusika wanajielewa, hence ni wao watuambie ni wameanza lini kujogo stlye hio!
mbona mda sana jamani lol