- Thread starter
- #61
Diamond amuogope kiba kwa kitu kipi?Sio kweli
Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule
Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto
Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake
Vishungundo bana
Diamond amuogope kiba kwa kitu kipi?Sio kweli
Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule
Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto
Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake
Vishungundo bana
siyo hapendi ...hana cha kushow offJamaa hapendi show-off ndio maana hasikiki
Walishamuacha ndiyo maana sasa yuko namba 3 hata mh Rais na serikali yake haiwezi kumuweka level moja na Mond wala konde boyah ah zile washapiga ela wanasonga mbele...we upo bitter lazima utakua ESI au seven..mliweka mapenzi mbele badala ya kumshauri huyu kijana ajue kujibrand..jana anahojiwa clouds hayupo proffesional kabisa....yupo yupo tu na ana kiburi watakuja madogo watamwacha alipo