Aliyefuta wimbo wa Cheche ajulikana

Aliyefuta wimbo wa Cheche ajulikana

Kumbe huwa unamfatilia safi kabisa. Sasa tuje hapa kiba kakopy mashairi kama unavyosema. Ila domo ana paste kila kitu anzia mashairi,nguo,aina ya kucheza,midundo haachi kitu kama watu wa buza na bajeti yao ya kuku utumbo,miguu vyote vinaliwa
hii nguvu unayotumia unalipwa mama?na hivi ile mofaya imefikia wapii
 
Domo karanga na pafyum zimeishia wapi?
ah ah zile washapiga ela wanasonga mbele...we upo bitter lazima utakua ESI au seven..mliweka mapenzi mbele badala ya kumshauri huyu kijana ajue kujibrand..jana anahojiwa clouds hayupo proffesional kabisa....yupo yupo tu na ana kiburi watakuja madogo watamwacha alipo
 
Acheni wizi ndugu,kila wimbo mnaotoa una kashfa ya kuibiwa,copy and paste.

Ona kiba anatoa nyimbo zake zisizokua na paste toka sehemu yoyote
mkuu kumbe umeathiriwa na u-team tu na wala si mfuatiliaji wa mziki, ISIKILIZE MOOD 4 EVA ya beyonce na hiyo mediocre alafu ulete mrejesho kama kakopi au la, kiba anakopi sana sema ni vile hana nyota ya kufuatiliwa sana kama mwenzake ndo maana havumi
 
Am team hater. Hizo team mnazonipa mnajipa shida. Domo ni bingwa wa copy and paste
mkuu kumbe umeathiriwa na u-team tu na wala si mfuatiliaji wa mziki, ISIKILIZE MOOD 4 EVA ya beyonce na hiyo mediocre alafu ulete mrejesho kama kakopi au la, kiba anakopi sana sema ni vile hana nyota ya kufuatiliwa sana kama mwenzake ndo maana havumi
 
Kama mie ni seven wewe utakua don masha chawa wa gigy money. Dada kifuani umejazia si haba.
ah ah zile washapiga ela wanasonga mbele...we upo bitter lazima utakua ESI au seven..mliweka mapenzi mbele badala ya kumshauri huyu kijana ajue kujibrand..jana anahojiwa clouds hayupo proffesional kabisa....yupo yupo tu na ana kiburi watakuja madogo watamwacha alipo
 
Acheni wizi ndugu,kila wimbo mnaotoa una kashfa ya kuibiwa,copy and paste.

Ona kiba anatoa nyimbo zake zisizokua na paste toka sehemu yoyote
Yale mashudu,aliyoimba ndo nyimbo🤔?
 
Acheni wizi ndugu,kila wimbo mnaotoa una kashfa ya kuibiwa,copy and paste.

Ona kiba anatoa nyimbo zake zisizokua na paste toka sehemu yoyote
Na zimemfikisha wapi...? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeusikia kwanza huo utopolo ambao ameutoa yaaani bonge boko Tena la kiwango Cha PHD, HD na SGR[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24].

DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A T AMESEMA.

#NO KIKI NO BUSTA.
 
Am team hater. Hizo team mnazonipa mnajipa shida. Domo ni bingwa wa copy and paste
nilitarajia utajibu kwa fact after kuusikiliza huo wimbo nilokutajia bt matokeo yake umeendeleza ngonjera
 
Back
Top Bottom