Aliyechora Ramani ya Dunia yeye alikuwa amekaa wapi?

Malaika anaitwa ATLAS ndo alichora ramani ya dunia.just google for more info
 
Wakuu poleni na mihangaiko kutafuta riziki, mimi mwenzenu wa stendi huwa sometime najiuliza maswali ya kizushi mimi kama mimi ila nimeamua niwashirikishe, swali lenyewe ni hili, hivi yule aliyechora ramani ya dunia yeye alikuwa amekaa wapi.

Namaanisha alikuwa ndani ya ule mhimili au alikuwa nje ya ramani na kama alikuwa nje ya ramani swali hapo sasa alikuwa dunia gani sasa?

Nawasilisha...
Hapa ndipo unapogundua kabla ya picha za selfii palikuwepo na ramani za selfii....Hahahaaa Mkuu ramani ya weza kuchorwa kwa kutumia picha za angani(Aerial photography...hii ni njia ya kisasa) au kwa kuchora vipande vipande...yaani unasafiri umbali mfupi nchi kavu au baharini kisha unarekodi then baadae unaunganisha kupata ramani nzima.Hii njia ya pili ndio iliyotumika zamani.
 
Hapa ndipo unapogundua kabla ya picha za selfii palikuwepo na ramani za selfii....Hahahaaa Mkuu ramani ya weza kuchorwa kwa kutumia picha za angani(Aerial photography...hii ni njia ya kisasa) au kwa kuchora vipande vipande...yaani unasafiri umbali mfupi nchi kavu au baharini kisha unarekodi then baadae unaunganisha kupata ramani nzima.Hii njia ya pili ndio iliyotumika zamani.
Na wakati huo walitumia pia GPS, kupima umbali toka eneo moja hadi lingine pia walikuwa wameshagundua longitudo na latitudo. Isaac Newton alikuwa chanzo na walimwita mzushi lakini mwishowe walikubali na iliwasaidia kuchora ramani.
 
Sasa kama alikaa huko sijui kwenye satelite sasa hyo satelite ilikuwa dunia ipi sasa!!
 
satelite ndo zimetumika,hakuna mtu ambae angechora kwa kutumia akili yake au mikono yake,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom