- Thread starter
- #21
Wewe ni domo zegeee???
Kwani hujui kumtokea demu
Life is really simple , but we insist on making it complicated,
hii kwangu ni fulsa na nimeitumia au nn maana ya kuwepo jukwaa hili?
Wewe ni domo zegeee???
Kwani hujui kumtokea demu
Kumweka ndani?/rumande? Kwani amefanya kosa gani? Hata ningekuwa mimi nisingekubali kuwa tayari kuwekwa ndani bila kosa lolote.
Life is really simple , but we insist on making it complicated,
hii kwangu ni fulsa na nimeitumia au nn maana ya kuwepo jukwaa hili?
Nipenda hyo..lakn napita tunot Rumande, kutulia ndani na kuwa mke wa m2 cyo wa wa2