Aliye tayari kuwekwa ndani......

Aliye tayari kuwekwa ndani......

ACT TENA

Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
54
Reaction score
13
:A S 100:Naitwa ...........
ninamiaka 27, ni-naelimu ya stashada(Ordinary diploma) ktk field ya engineering.
natafuta msichana/mwanamke
sitamkagua vyeti kujua ana elimu kiasi gani bt uelewa kwangu ndo kila kitu
:argue:
 
duniaaaa....!!!

dunia mapito jama!
 
Eeeeh ..pole sana kiivi ni ngumu kupata
 
:A S 100:Naitwa ........... ninamiaka 27, ni-naelimu ya stashada(Ordinary diploma) ktk field ya engineering. natafuta msichana/mwanamke sitamkagua vyeti kujua ana elimu kiasi gani bt uelewa kwangu ndo kila kitu :argue:
Kumweka ndani?/rumande? Kwani amefanya kosa gani? Hata ningekuwa mimi nisingekubali kuwa tayari kuwekwa ndani bila kosa lolote.
 
not Rumande, kutulia ndani na kuwa mke wa m2 cyo wa wa2
 
wewe utakuwa ndo wale msio tulia, mnakaa mnawashwa kwann usikubali kutulia ndani.....
 
Kuwekwa ndani?? Rumande ama?

1069265_413434958766824_838483899_n.jpg
 
Wewe ni domo zegeee???
Kwani hujui kumtokea demu
 
kwamantic hiyo hili jukwaa umeona halina maana?

Kama ameshindwa kuwasawishi anao waona kila siku unadhani hapa atapata mwenza kweli?

Hapa ataishia kupata majibu ya mzaha,
Otherwise aende LOVE CONNECT.
 
Back
Top Bottom