Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,480
Katika ubongo wa mwanadamu kumejawa na kila aina ya vipaji vya kufikirisha sana,
Hasa pale mtu anapochukua mda wake mwingi sana katika kuutafakari uumbaji wa Mungu na kuamua kufanya kile ambacho kwa akili ya kawaida unaona hakina udhamani wowote ila yeye bado kakifikiria kukifanya hicho hicho ambacho hakina dhamani.
Swali la kujiuliza huyu alitamani awe nani haswa katika kufanikisha azima ya maisha yake ya ubunifu kama huu?
Mimi nimeipenda kazi hii sana hata kwa kuiona tu
Hasa pale mtu anapochukua mda wake mwingi sana katika kuutafakari uumbaji wa Mungu na kuamua kufanya kile ambacho kwa akili ya kawaida unaona hakina udhamani wowote ila yeye bado kakifikiria kukifanya hicho hicho ambacho hakina dhamani.
Swali la kujiuliza huyu alitamani awe nani haswa katika kufanikisha azima ya maisha yake ya ubunifu kama huu?
Mimi nimeipenda kazi hii sana hata kwa kuiona tu