Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Rais ni mtu mkubwa sana, ni lazima aheshimiwe na kulindwa kwa gharama yoyote, ndani na nje ya nchi...masaa 24!
Kwa kuwa ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, muda wote (kasoro akiwa kwenye makazi yake IKULU) ni lazima awe na:
1. CDF ( Mwamba)
2. IGP
3. DG - TISS
4. Kamishna wa Uhamiaji
5. Kamishna wa Magereza
6. Mkurugenzi wa TAKUKURU
7. Kamishna wa Madawa ya Kulevya
Hapo hapo kuna kikosi kazi maalumu ya Ulinzi wa Rais, na wale jamaa (snipers) wanaovaa mabaka- mabaka.
Nchi yetu ipo vizuri sana kiulinzi na kiusalama na ndiyo maana tunalala fofofo na kutembea usiku wa manane tukijiachia bila hofu yoyote.
Asante sana Mhe. Rais.
MUNGU akubariki.
Kwa kuwa ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, muda wote (kasoro akiwa kwenye makazi yake IKULU) ni lazima awe na:
1. CDF ( Mwamba)
2. IGP
3. DG - TISS
4. Kamishna wa Uhamiaji
5. Kamishna wa Magereza
6. Mkurugenzi wa TAKUKURU
7. Kamishna wa Madawa ya Kulevya
Hapo hapo kuna kikosi kazi maalumu ya Ulinzi wa Rais, na wale jamaa (snipers) wanaovaa mabaka- mabaka.
Nchi yetu ipo vizuri sana kiulinzi na kiusalama na ndiyo maana tunalala fofofo na kutembea usiku wa manane tukijiachia bila hofu yoyote.
Asante sana Mhe. Rais.
MUNGU akubariki.