Alinishauri mwenyewe ila sasa ananitangaza vibaya kwa watu

Ulivyopewa ushauri uliufanyia kazi au uliuchukua na kwenda kuutekeleza? Kama uliufanyia kazi sioni sababu ya wewe kulalamuka hapa. Inajulikana boda boda ni kazi inayodharaulika haijalishi inakuingizia kipato kiasi gani.
 
Kuna kitu cha tofauti umekionyesha katika kazi yako sio bure
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Achana naye, hata kama ukiacha boda boda hata acha kuongea angeavyo, nawe hutaacha kupata pesa.

Kikubwa, piga hatua tu, badala ya kuwa boda wa kawaida wewe kuwa zaidi ya hao...
 
Jifunze kupuuza itakusaidia sana hasa kwenye jambo ambalo unaona lina faida kwako
 
MJUMBE YUPO SAHIHI.
Wewe una degree ila ni bodaboda ndio ukweli huo.
Wewe piga kazi kwa ubora kuonyesha kuwa kweli umesoma. Vaa helmet, oga vizuri, nyosha nguo, nyoa vizuri, kuwa muaminifu kwa wateja, tunza siri za wateja. Hapo utaona matunda ya hiyo kazi.
Pia ongea na makampuni hasa supermarket uwe unafanya delivery ya bidhaa zao kwa wateja.
 
Mpe lift ya ya bodaboda halafu kitakachofuata kama mko dar atajikuta muhimbili inabidi akatwe mguu mmoja, ila ufanye kwa umakini kiathirike chombo na abiria tu
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Unafaidika na hiyo shughuli au la?
 
Huyo mjumbe amekupa changamoto usimchukie kukusema, endesha boda kama sehemu ya safari kufikia unapotaka kufika.
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Unashauriwa na mjumbe duh
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Chapa kazi
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Achana naye mjinga huyo wewe mradi unakamata mkwanja!!! Fanya kazi yeyote itakayokuingizia pesa.
 
Nilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum.

Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu.

Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu".

Sasa sijui nimfanyeje mtu huyu?
Msamee na muombee. Lakini rai yangu kwako ni kuendelea kupambana pasipo kukata tamaa.
 
Back
Top Bottom