Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 855
- 2,111
Mgongee mke wake.
Mgongee mke wake.
Ukienda kumtukana itaonekana kweli we ni darasa la sabaNilimaliza chuo kikuu mwaka 2019 kule UDOM na sasa nipo kitaa bila kazi maalum. Kuna jamaa mmoja yeye ni mjumbe wa nyumba kumi ni kabila moja na mimi akaja akaniambia nianze kuendesha bodaboda ili nipate pesa ya kujikimu. Nilianza kuendesha bodaboda mwaka jana 2020 nikawa napata pesa za vocha ila jambo la kushangaza jamaa anaanza kuwaambia watu kuwa "mnamuona mwita amesoma sana mpaka chuo kikuu lakini ameishia kuwa dereva wa bodaboda kama vijana walioishia darasa la saba tu". Sasa sijui nimfuate nikamtukane?
Ama awatandike mimba kadhaa kitaa Ili kuwaonyesha kwamba na huko chuo alijifundisha na mengine.Kwani ukimtukana ndiyo itaondoa ukweli kwamba umesoma mpaka Chuo Kikuu na bado unaendesha boda boda?
Upuuzi mwingine ni wa kupuuzia. Piga kazi.
Mkuu sijakupata vzr, hebu fafanua hako ka mbinu kanasaidia niniMuwekee mchele kidogo kwenye bia yake then ile burger iweke yai hatakusimanga tena
Hapana dada.Ama awatandike mimba kadhaa kitaa Ili kuwaonyesha kwamba na huko chuo alijifundisha na mengine.
Unaonaje Kaka?
hujaelewa nini mkuu😂
Amang'ana mubhyaraAlafu yeye ni form four failure sema tu ni kada wa CCM ndio maana kapewa ujumbe
Hapo sasa.Hapana dada.
Darasa la Saba watampiga mapanga. Afanye kazi tu.
Upo tayari kwenda kumuuguza mdogo wetu??Hapo sasa.