Kama hujaafikiana Na moyo wako utamsahau vipi?
Umebeba maumivu ambayo ulipaswa umsamehe Na uyasahau ugange yajayo
Bado una kamzigo ka maumivu moyoni mwako
Fanya hivi
Hebu kubali kabisa moyoni mwako sema nao it's over and u don't want her back
Jikite Na ubusy wa kusaka riziki mtoe mawazoni
Jichanganye Na washkaj kama hivo
Uzur n kwamba hakuna linalodumu Kila jambo linatokea Na kupita maisha lazima yasonge
"Huwezi kuendelea kusoma ukurasa mmoja wa kitabu Kila siku lazima ujue hatma ya story ilikuaje"
Kila la heri


