Aliniomba mtoto sasa kanigeuka

Aliniomba mtoto sasa kanigeuka

muoe tuu! tena nasema muoe tuu maana haina jinsi
 
Endelea kumgegenda apate mwingine, mtoto asiekua na ndugu sio vizuri.
 
Achana nae...
Mwambie akupe mtoto wako aache utapeli wa mapenzi...
 
Kwani imeandikwa wapi na kwa katiba ipi kuwa ukimpa mtu mimba unatakiwa umuoe??
 
nashauri kuwe na child support!!we mlipogegedana uliomba ushauri JF?
 
bro-for-real_zpsa8cdedd1.jpg

bg.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom