mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,587
- 466
Ushauri jamani wana jf, Mimi nina Dada mmoja ambaye aliomba nimpatie mtoto kutokana na umri wake kukwea coz yeye ana miaka 39 namm 25 it means ananizidi 15 kiumri.
Awali nilisita kufanya hivyo ila kanibembeleza hadi tuka fanya mapenzi hatimaye ujauzito sasa leo hii amenigeuka kuwa nimuoe wakati makubaliano yetu ilikuwa nimpatie mtoto,.
Je, nifanyeje kuepuka hili?
Awali nilisita kufanya hivyo ila kanibembeleza hadi tuka fanya mapenzi hatimaye ujauzito sasa leo hii amenigeuka kuwa nimuoe wakati makubaliano yetu ilikuwa nimpatie mtoto,.
Je, nifanyeje kuepuka hili?