Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

Acha kukompliket nimekuitaje, anyway usicompliacate jina,

wewe unashida nahisi umepoteza kumbukumbu hujijui, chuo si alikua na marafiki wewe si ulimkuta chuo sasa aweje kuwa sio binadamu wa kawaida
Hujaelewa
 
Pole sana dada, huo unaitwa ulimwengu wa giza, hakuwa binadamu wa kawaida huyo
Acha kukompliket nimekuitaje, anyway usicompliacate jina,

wewe unashida nahisi umepoteza kumbukumbu hujijui, chuo si alikua na marafiki wewe si ulimkuta chuo sasa aweje kuwa sio binadamu wa kawaida
Unaweza kuishi mahala kwa zaidi ya miaka mitano na nyumba ni yenu mmejenga.unaishi na wazazi wako na wadogo zako wengi tu ila siku mtu akina mtaani anawaulizia hata nyumba zinazopakana wanasema hawajawahi kuishi watu hao hapo?
Wadogo zako qanasoma shule za Kara maeneo hayohayo bado watu hawawajui.
 
Unaweza kuishi mahala kwa zaidi ya miaka mitano na nyumba ni yenu mmejenga.unaishi na wazazi wako na wadogo zako wengi tu ila siku mtu akina mtaani anawaulizia hata nyumba zinazopakana wanasema hawajawahi kuishi watu hao hapo?
Wadogo zako qanasoma shule za Kara maeneo hayohayo bado watu hawawajui.
Pole, hebu nikuulize kitu je tangu mlijuana je hamkuwahi shiriki mambo ya kimwili?
 
Back
Top Bottom