Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,670
- 50,987
Au yule kijana aliwaambia watu wa hile nyumba wakati anahama asitaje anapohamia mtu yoyote akijauliziaUnaweza kuishi mahala kwa zaidi ya miaka mitano na nyumba ni yenu mmejenga.unaishi na wazazi wako na wadogo zako wengi tu ila siku mtu akina mtaani anawaulizia hata nyumba zinazopakana wanasema hawajawahi kuishi watu hao hapo?
Wadogo zako qanasoma shule za Kara maeneo hayohayo bado watu hawawajui.