Mkuu hapa inawezekana ma teenagers wapo wataishi mpaka miaka 90 wakawa hai bado.Usijali miaka 70 ijayo wote tuliopo humu tutakuwa maiti,kama huyo aliyekufa kwa ngoma
Kwenye ile orodha ya nyimbo zilizokua zinauzungumzia ukimwi kwa nyakati zile na huu nao kwenye tano Bora haukosi... Jide alikua 🔥 🔥 🔥Alikufa kwa ngoma.
View attachment 3197671