lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Naona unaandika upuuzi tu.
mtajibeba
Naona unaandika upuuzi tu.
K 4 REAL level zetu ni R.KELLY,CRISS BROWN sio waimba taarabu
bila promo ya airtel ungemjua r kelly ???
K 4 REAL ni mfalme anatisha mazee huwe kumweka meza moja na muimba taarabu kilaza
huwez ukapinga kwa hoja zaid ya maneno yasiyo hata na maana mkuu, lete hoja weka mezan na ss tupime upande upi upo sahihi..!
Mbona easy tu...
tutoleeni mataarabu yenu hapa, dume zina linaimba taarabu jicho hilooo
k 4 real
Mkuu mbona kama umepanic hivi!!!!
Anyway, hiyo unayosema taarabu (ingawa n mduara, mzik wenye asil ya tz) ina VIEWS 2millions kwa kipnd cha miez miwil ila hiyo nyimbo yenu mwana ina VIEWS 1.8milions kwa kipind chote cha miez mitano (5)...
Naomba kama unajielewa upinge kwa hoja..
Kweli sio fair kabisa kumfananisha kati ya King Kiba na mtwana Dai, sababu King Kiba yeye ana kipaji na sauti halisi tofauti na mtwana Dai.
KingKiba anajibeba mwenyewe ila mtwana Dai anabebwa na Davido, mr.flavour pamoja na Godfather yani bila hivyo hapa tungekuwa tunaongea mengine.
KingKiba anafanya mziki safi usio na fitina, husda na majungu lakini mtwana Dai anafanya mziki wa fitina husda.
Kingkiba ni kijana anaamini katika mafanikio yasiyo na uzandiki wowote ila yule jirani yake mtwana dai kazi zake ni ushirikina na waganga.
Furaha yangu ni hii kwamba watanzania bado wanatambua uwezo na mchango wa KingKiba ndiomana mpaka leo maelefu ya washabiki bado wapo naye na ndio hao waliompa tuzo za watu juzi, na ndio hao watakaoenda kumpa tuzo 7 za KTMA wiki hii.
Mkuu mbona kama umepanic hivi!!!!
Anyway, hiyo unayosema taarabu (ingawa n mduara, mzik wenye asil ya tz) ina VIEWS 2millions kwa kipnd cha miez miwil ila hiyo nyimbo yenu mwana ina VIEWS 1.8milions kwa kipind chote cha miez mitano (5)...
Naomba kama unajielewa upinge kwa hoja..
Fikra Zako ni za kimaskini.. Mawazo mgando kama yako kila mtu akiw nayo basi dunia nzima itajaa wachawi na wanaoshinda vijiweni..
Hivi hujui maana ya fursa??!... Dai ameona Fursa kutoka kwa wasanii wa Nigeria kwanini asiitumie...!mbona ally alipata tenda ya kufanya muziki na R kelly tukamsifia japokuwa haijampa mafanikio yoyote kimataifa( aliridhika na mafanikio akawa busy anacheza mpira kwa kuwabalikuwa ameona amefika)...ajiaumu mwenyewe...
mkuu unajua kwamba msanii mdhaifu ni yule anayetoa nyimbo nyingi kwa muda mfupi kama diamond.
King unakuwa na tuzo moja ya kilimanjaro maisha yote ya mziki ???
...Heee!!, na 20% ambaye kawahi chukua 5 kwa mara moja tumuitaje???
mkuu sijapanic bwana nipo fresh kabisa
King kiba ndo habari ya mjini. Tuache ushabick na kick za kipuuzi za mademu, Ali Kiba ni mwanamuziki anayeelewa anafanya nini. Big up King na mwaka huu wataisoma, tuzo saba zinaenda kwa mfalme.
tuzo zenyewe za upendeleo baada ya kauli toka kwa mkulu wa nyumba, ila itabakia THE KING IS KING
mdogomdogo ilitoka mwez wa 4/2014
bum bum mwez wa 7/2014
ntampata wap mwez 11/2014
nasema nawe mwez wa 3/2015
nana imetoka juz !!!
Unataka atoaje mkuu, mbona interval yake iko mia tu!!!
...asa kma mtu ana nyimbo nying afanyeje ???