Alikiba Vs Diamond: Unfair competition

Alikiba Vs Diamond: Unfair competition

Jamaa ilitakiwa wamshauri kiba atafute major hot song moja itakayomuweka kwenye ramani kama number one na number one remix iteke afrika alafu ndo aongeze biidi ili iwe rahis kuteka soko diamond sahiz hata atoe video mtu anakuwa na hamu ya kuifatilia ila ni ngumu mashabiki wote wa dar tena mchikichini youtube kwa manati kuwika afrika itachukua mda sna

K 4 REAL huwezi kumlinganisha na kilaza
 
mleta mada utakuwa unaumwa tumbo la kuharisha tu unaleta mada ya utumbo kama hii mbele ya watu? au wewe ni mgeni hapa jf? kilaza mkubwa
 
K 4 REAL ni mfalme anatisha mazee huwe kumweka meza moja na muimba taarabu kilaza
 
msanii gani kila siku wanawake tu ili apate kiki hana jipya huyo na mataarabu yake,dume zima linaimba taarabu? idioty
 
Msanii gani huyo wakati alimwagiwa mikojo na kurushiwa makopo,kuzomewa kwenye fiesta,nyambafu
 
Unajua hatupingi kuwa ally kiba asiwe na mashabiki tunachopinga ni mashabiki wa ally kiba kulazimisha ally kiba ashindane na diamond... Hapo tu ndo tunapokosana??...

Huwezi ukakuta Team diamond anajisumbua kumpambanisha Diamond na ally kiba ila utakuta mashabiki wa ally ndo mnalazimisha hii unfair competition
 
Unajua hatupingi kuwa ally kiba asiwe na mashabiki tunachopinga ni mashabiki wa ally kiba kulazimisha ally kiba ashindane na diamond... Hapo tu ndo tunapokosana??...

Huwezi ukakuta Team diamond anajisumbua kumpambanisha Diamond na ally kiba ila utakuta mashabiki wa ally ndo mnalazimisha hii unfair competition

na wewe jisalimishe hapa hapa uko team gani hili tukushukie kama mwewe?
 
Kweli sio fair kabisa kumfananisha kati ya King Kiba na mtwana Dai, sababu King Kiba yeye ana kipaji na sauti halisi tofauti na mtwana Dai.

KingKiba anajibeba mwenyewe ila mtwana Dai anabebwa na Davido, mr.flavour pamoja na Godfather yani bila hivyo hapa tungekuwa tunaongea mengine.

KingKiba anafanya mziki safi usio na fitina, husda na majungu lakini mtwana Dai anafanya mziki wa fitina husda.

Kingkiba ni kijana anaamini katika mafanikio yasiyo na uzandiki wowote ila yule jirani yake mtwana dai kazi zake ni ushirikina na waganga.

Furaha yangu ni hii kwamba watanzania bado wanatambua uwezo na mchango wa KingKiba ndiomana mpaka leo maelefu ya washabiki bado wapo naye na ndio hao waliompa tuzo za watu juzi, na ndio hao watakaoenda kumpa tuzo 7 za KTMA wiki hii.
 
Kweli sio fair kabisa kumfananisha kati ya King Kiba na mtwana Dai, sababu King Kiba yeye ana kipaji na sauti halisi tofauti na mtwana Dai.

KingKiba anajibeba mwenyewe ila mtwana Dai anabebwa na Davido, mr.flavour pamoja na Godfather yani bila hivyo hapa tungekuwa tunaongea mengine.

KingKiba anafanya mziki safi usio na fitina, husda na majungu lakini mtwana Dai anafanya mziki wa fitina husda.

Kingkiba ni kijana anaamini katika mafanikio yasiyo na uzandiki wowote ila yule jirani yake mtwana dai kazi zake ni ushirikina na waganga.

Furaha yangu ni hii kwamba watanzania bado wanatambua uwezo na mchango wa KingKiba ndiomana mpaka leo maelefu ya washabiki bado wapo naye na ndio hao waliompa tuzo za watu juzi, na ndio hao watakaoenda kumpa tuzo 7 za KTMA wiki hii.

mkuu wataelewa tu
 
Back
Top Bottom