lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Jamaa ilitakiwa wamshauri kiba atafute major hot song moja itakayomuweka kwenye ramani kama number one na number one remix iteke afrika alafu ndo aongeze biidi ili iwe rahis kuteka soko diamond sahiz hata atoe video mtu anakuwa na hamu ya kuifatilia ila ni ngumu mashabiki wote wa dar tena mchikichini youtube kwa manati kuwika afrika itachukua mda sna
K 4 REAL huwezi kumlinganisha na kilaza