Habari Wanajf,
Kwakweli nilitegemea wonders kutoka kwa Alikiba kwenye show hii ya Ufunguzi wa Michuano ya African Super League, labda anaweza akaja tofauti kutokana na ukubwa wa event yenyewe, lakini tatizo lake limebakia lile lile sio good performer.
Kaimba kichovu sana, hii ndio ilikuwa nafasi ya kuonesha kwa huo huo wimbo mmoja ulioimbwa.
Kwakweli nilitegemea wonders kutoka kwa Alikiba kwenye show hii ya Ufunguzi wa Michuano ya African Super League, labda anaweza akaja tofauti kutokana na ukubwa wa event yenyewe, lakini tatizo lake limebakia lile lile sio good performer.
Kaimba kichovu sana, hii ndio ilikuwa nafasi ya kuonesha kwa huo huo wimbo mmoja ulioimbwa.