toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,720
Naomba niilete mezani hii mada ili iwasaidie na wale wanunuzi wa bidhaa eti kati ya ebay na aliexpress ni upi unapata bidhaa yako mapema?
Yaani kukutumia mzigo unakufikia kwa muda mchache na mapema?
Watu wamekua wakilalamika bidhaa kukaa mwezi au zaidi
Naomba hapa tusizungumzie kina DHL kbs
Tuzungumzie kwa niia za kawaida za kumudu km posta n,k
Ni mtandao upi wateja wanapata bidhaa zake mapema na haraka zaidi?
Yaani kukutumia mzigo unakufikia kwa muda mchache na mapema?
Watu wamekua wakilalamika bidhaa kukaa mwezi au zaidi
Naomba hapa tusizungumzie kina DHL kbs
Tuzungumzie kwa niia za kawaida za kumudu km posta n,k
Ni mtandao upi wateja wanapata bidhaa zake mapema na haraka zaidi?