Aliebuni wazo la vijana wa BAVICHA kwenda Dodoma Mungu ampe maisha marefu

The President of United Republic of Tanzania and the Inspector General of Police have indefinitely banned any political activity until further notice. These are letimate orders, violation of which is a criminal offence. CCM is maliciously setting to convene a political meeting in violation of these legitimate orders by lawful public authorities and therefore any citizen with unwaivering love with this country is legally entitled to assist police to stop them.
is it unlawful for ccm to have a party chairman?
 
The President of United Republic of Tanzania and the Inspector General of Police have indefinitely banned any political activity until further notice. These are letimate orders, violation of which is a criminal offence. CCM is maliciously setting to convene a political meeting in violation of these legitimate orders by lawful public authorities and therefore any citizen with unwaivering love with this country is legally entitled to assist police to stop them.
is it unlawful for ccm to have a party chairman?
 
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.

Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.

Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga mnaouandaa?

Mkutano wa ccm si wa hadhara bali wa wanachama maalum,lakin upo kwa lengo maalum la katiba ya chama kukabidhi madaraka baada ya muda kwisha kwa aliyekuwa kiongozi.Na isitoshe,mkutano huu unafanyikia ndani ya ukumbi...kwa maana nyingine ni mkutano wa ndani.
Sasa lengo lenu ni kutaka kuibatilisha katiba ya ccm au laa?

Siwaelewi sana...vyema mkajipambanua...kichapo mtachezea sana,na msitaraji taharuki yyt kutoka mahali popote.
Katiba ya ccm inamtaka Kikwete kuachia madaraka ya uenyekiti mwaka 2017 , sasa kuachia mwaka huu ni mbwembwe tu na wala hazina sababu yoyote ya msingi ya kukiuka amri halali ya polisi .
 
Katiba ya ccm inamtaka Kikwete kuachia madaraka ya uenyekiti mwaka 2017 , sasa kuachia mwaka huu ni mbwembwe tu na wala hazina sababu yoyote ya msingi ya kukiuka amri halali ya polisi .
Ww wasema...ni utamaduni wa ccm kukabidhiana chama mara baada ya uchaguzi mkuu.

Ndivyo ilivyo,ndivyo itakavyokuwa na c kwa matakwa ya BAVICHA.
 
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.

Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.

Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga mnaouandaa?

Mkutano wa ccm si wa hadhara bali wa wanachama maalum,lakin upo kwa lengo maalum la katiba ya chama kukabidhi madaraka baada ya muda kwisha kwa aliyekuwa kiongozi.Na isitoshe,mkutano huu unafanyikia ndani ya ukumbi...kwa maana nyingine ni mkutano wa ndani.
Sasa lengo lenu ni kutaka kuibatilisha katiba ya ccm au laa?

Siwaelewi sana...vyema mkajipambanua...kichapo mtachezea sana,na msitaraji taharuki yyt kutoka mahali popote.
Mawazo ya hovyo hovyo sana,.. Like mh.spika jimbon kwangu hakuna, maji barabara, umeme, madawa. Pamoja na hayo yote naunga mkono hoja
 
Mkuu watu wa namna hiyo ndo watu hatari sana maana hawana cha kupoteza,ndo maana watu wenye akili wanajua kwamba serikali ya ccm kuua elimu ya watoto wetu huku wa kwao wakiwapeleka ulaya na baadae wakirudi kuwapa ubunge na kuwateua katika nafasi mbali mbali,hawatukomoi sisi bali wanajikomoa wenyewe,do you think wao wanaendelea kula na kusaza huku sisi tukiendelea kuwavumilia huku tukikula mihongo tena mlo mmoja? Kama unafikiri hivyo unajidanganya
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.

Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.

Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga mnaouandaa?

Mkutano wa ccm si wa hadhara bali wa wanachama maalum,lakin upo kwa lengo maalum la katiba ya chama kukabidhi madaraka baada ya muda kwisha kwa aliyekuwa kiongozi.Na isitoshe,mkutano huu unafanyikia ndani ya ukumbi...kwa maana nyingine ni mkutano wa ndani.
Sasa lengo lenu ni kutaka kuibatilisha katiba ya ccm au laa?

Siwaelewi sana...vyema mkajipambanua...kichapo mtachezea sana,na msitaraji taharuki yyt kutoka mahali popote.
 
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.

Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.

Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga mnaouandaa?

Mkutano wa ccm si wa hadhara bali wa wanachama maalum,lakin upo kwa lengo maalum la katiba ya chama kukabidhi madaraka baada ya muda kwisha kwa aliyekuwa kiongozi.Na isitoshe,mkutano huu unafanyikia ndani ya ukumbi...kwa maana nyingine ni mkutano wa ndani.
Sasa lengo lenu ni kutaka kuibatilisha katiba ya ccm au laa?

Siwaelewi sana...vyema mkajipambanua...kichapo mtachezea sana,na msitaraji taharuki yyt kutoka mahali popote.





Usijinyime raha kwa chuki zako za hovyo ambazo haziwezi hata kukuletea chakula mezani.Ushabiki wako wa kisiasa unaokupelekea kuwaona wenzako kama ni watu wa daraja la pili hauwezi kuwa na maana yoyote kwako zaidi ya kuiua dhamiri yako na kwa kuifanya ishindwe kuhisi uonevu wanaofanyiwa wanadamu wenzako.

Zaidi ya mara nne jeshi la polisi lilipiga marufuku mikusanyiko ya ndani iliyoandaliwa na vyama vya upinzani kwa malengo mbalimbali.Polisi walianza kuzuia kongamano la ndani lililokuwa limeandaliwa na Mh.Zitto Kabwe lililokuwa na lengo la kuijadili Bajeti ya 2016/2017.Kongamano hilo lilikuwa lifanyike katika ukumbi wa hotel moja hapa DSM,lakini policcm walizuia kufanyika kwa kongamano hilo.

Policcm pia walivamia na kuzuia mahafali ya CHASO kule Dodoma yaliyokuwa yameandaliwa katika ukumbi wa hotel.Polisi haohao walizuia kongamano la mbunge wa CHADEMA na vijana huko Bariadi lililopangwa kufanyika katika ukumbi wa kanisa LA KKKT Bariadi mjini,lengo likiwa ni kujadili changamoto za maendeleo yao,polisi kwa sababu ileile iliyozoeleka,walilizuia kongamano hilo.

Unaposema eti mkutano wa ccm ni mkutano wa ndani na haupaswi kuzuiliwa,hiyo "ndani" ni ndani gani?Ni ndani ya makaburi ya mlingotini kule Bagamoyo au ndani ya nini?Mbona wengine walipojaribu kufanya kile wanachotaka kukifanya ccm walisambaratishwa kwa Maji ya kuwasha,mabomu ya machozi na virungu?

Usifikiri tuliojipanga kwenda Dodoma kuzuia uvunjwaji wa kauli halali ya serikali ya ccm tunafanya hivyo kwa mizuka,tuna rejea za kutosha za namna jeshi la policcm lilivyotumika kutekeleza agizo ovu la kuzuia shughuli za kisiasa nchini,kwa kuwa mkutano wa ccm Dodoma ni shughuli ya kisiasa,tunaliomba jeshi la polisi liache Double standard,lisimamie maagizo ya serikali kwa kuwafurusha wanaCCM wote watakaoenda Dodoma,tena ikibidi wamvunje miguu au wamchomoe hata jicho Magufuli,hapo haendi kama Rais bali anaenda kama kada wa chama hivyo naye anapaswa atii bila shuruti agizo la Rais alilolitoa la kupiga marufuku mikutano ya kisiasa.

Polisi wakishindwa kumzuia Magufuli na genge lake lililojipanga kuikaidi amri ya mkuu wa nchi,ndipo BAVICHA tutakapoingilia kati kuudhibiti ukaidi wao dhidi ya mkuu wa nchi.
 
Wazo hili,bila kujali utekelezaji wake utakuwaje au nini kitatokea siku hiyo,ni wazo lililotoa funzo kubwa sana kwa wakubwa kuacha kujisahau na pia ni onyo kama sio ishara ya nini kinaweza kuja kutokea siku za usoni iwapo mambo haya yataendelea.

Nina amini asilimia mia moja kuwa wakubwa wenye dhama ya mambo fulani fulani katika nchi hii hawakutarajia kuwa kuna siku vijana wa Taifa hili wanaweza kufikia hatua ya kupanga au kuandaa movement ya aina hii kutokana na kauli zao.

Uliebuni wazo hili nakupongeza sana na mungu akupe maisha marefu maana naamini umewapa watu homework ya kutosha na huenda wakajifunza.

Siku hiyo watangulie watoto wa Dj, kisha wa Baba Mkwe, wa kubwa la mafisadi, wa Mbatia, Kimesera, Lwakatare, etc. Watoto wa kina Salary Slip, Mmawia, Erthycote, na wengine kama hao wafunge tela
 
MBISHI mmoja HIVI anaitwa ''KAMANDA sosopi'' huwa havai KOMBATI yeye na SHUKA shuka na yeye HATAREEEEEEEE .
 
Wazo hili,bila kujali utekelezaji wake utakuwaje au nini kitatokea siku hiyo,ni wazo lililotoa funzo kubwa sana kwa wakubwa kuacha kujisahau na pia ni onyo kama sio ishara ya nini kinaweza kuja kutokea siku za usoni iwapo mambo haya yataendelea.

Nina amini asilimia mia moja kuwa wakubwa wenye dhama ya mambo fulani fulani katika nchi hii hawakutarajia kuwa kuna siku vijana wa Taifa hili wanaweza kufikia hatua ya kupanga au kuandaa movement ya aina hii kutokana na kauli zao.

Uliebuni wazo hili nakupongeza sana na mungu akupe maisha marefu maana naamini umewapa watu homework ya kutosha na huenda wakajifunza.

Naona CHADEMA na BAVICHA yenu kwa makusudi kabisa mmeamua kwenda kuwa sehemu ya mazoezi ya kulenga shabaha kwa Police na kupima uimara wa magari ya kuwasha ya FFU siku ya tarehe 23, July 2016. Kila la kheri!
 
Hivi watoto wa Mbowe na Lowasa watakuwepo?
Ukombozi unawahitaji hao watoto wa Viongozi?wanaweza kuwa watoto wa viongozi lakini sio lazima wawe viongozi au wanaharakati cha msingi ni kama wao akili zao wanaguswa na hilo tatizo
 
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.

Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.

Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga mnaouandaa?

Mkutano wa ccm si wa hadhara bali wa wanachama maalum,lakin upo kwa lengo maalum la katiba ya chama kukabidhi madaraka baada ya muda kwisha kwa aliyekuwa kiongozi.Na isitoshe,mkutano huu unafanyikia ndani ya ukumbi...kwa maana nyingine ni mkutano wa ndani.
Sasa lengo lenu ni kutaka kuibatilisha katiba ya ccm au laa?

Siwaelewi sana...vyema mkajipambanua...kichapo mtachezea sana,na msitaraji taharuki yyt kutoka mahali popote.
Ile ya wapinzani ya ndani ya ukumbi ilikuwa ni disco sio mikutano ya chama yenye haki kisheria???
 
Usijinyime raha kwa chuki zako za hovyo ambazo haziwezi hata kukuletea chakula mezani.Ushabiki wako wa kisiasa unaokupelekea kuwaona wenzako kama ni watu wa daraja la pili hauwezi kuwa na maana yoyote kwako zaidi ya kuiua dhamiri yako na kwa kuifanya ishindwe kuhisi uonevu wanaofanyiwa wanadamu wenzako.

Zaidi ya mara nne jeshi la polisi lilipiga marufuku mikusanyiko ya ndani iliyoandaliwa na vyama vya upinzani kwa malengo mbalimbali.Polisi walianza kuzuia kongamano la ndani lililokuwa limeandaliwa na Mh.Zitto Kabwe lililokuwa na lengo la kuijadili Bajeti ya 2016/2017.Kongamano hilo lilikuwa lifanyike katika ukumbi wa hotel moja hapa DSM,lakini policcm walizuia kufanyika kwa kongamano hilo.

Policcm pia walivamia na kuzuia mahafali ya CHASO kule Dodoma yaliyokuwa yameandaliwa katika ukumbi wa hotel.Polisi haohao walizuia kongamano la mbunge wa CHADEMA na vijana huko Bariadi lililopangwa kufanyika katika ukumbi wa kanisa LA KKKT Bariadi mjini,lengo likiwa ni kujadili changamoto za maendeleo yao,polisi kwa sababu ileile iliyozoeleka,walilizuia kongamano hilo.

Unaposema eti mkutano wa ccm ni mkutano wa ndani na haupaswi kuzuiliwa,hiyo "ndani" ni ndani gani?Ni ndani ya makaburi ya mlingotini kule Bagamoyo au ndani ya nini?Mbona wengine walipojaribu kufanya kile wanachotaka kukifanya ccm walisambaratishwa kwa Maji ya kuwasha,mabomu ya machozi na virungu?

Usifikiri tuliojipanga kwenda Dodoma kuzuia uvunjwaji wa kauli halali ya serikali ya ccm tunafanya hivyo kwa mizuka,tuna rejea za kutosha za namna jeshi la policcm lilivyotumika kutekeleza agizo ovu la kuzuia shughuli za kisiasa nchini,kwa kuwa mkutano wa ccm Dodoma ni shughuli ya kisiasa,tunaliomba jeshi la polisi liache Double standard,lisimamie maagizo ya serikali kwa kuwafurusha wanaCCM wote watakaoenda Dodoma,tena ikibidi wamvunje miguu au wamchomoe hata jicho Magufuli,hapo haendi kama Rais bali anaenda kama kada wa chama hivyo naye anapaswa atii bila shuruti agizo la Rais alilolitoa la kupiga marufuku mikutano ya kisiasa.

Polisi wakishindwa kumzuia Magufuli na genge lake lililojipanga kuikaidi amri ya mkuu wa nchi,ndipo BAVICHA tutakapoingilia kati kuudhibiti ukaidi wao dhidi ya mkuu wa nchi.
hahahaha umenichekesha sana dah utakuwa umekunywa viroba wewe
 
Katiba ya ccm inamtaka Kikwete kuachia madaraka ya uenyekiti mwaka 2017 , sasa kuachia mwaka huu ni mbwembwe tu na wala hazina sababu yoyote ya msingi ya kukiuka amri halali ya polisi .
Ya ccm waachie ccm wenyewe, hayakuhusu. Iwe 2016 au '17 ni mapenzi yao. Polisi hawawezi zuia mkutano wa uchaguzi iwe ccm, cuf, cdm nk. Mbona mnashindwa kuelewa jambo dogo kama hili? Hakika naunga mkono hatua zitakazochukuliwa na polisi.
 
Back
Top Bottom