Alidai nimeoa bibi kizee, sasa anaomba msaada

Alidai nimeoa bibi kizee, sasa anaomba msaada

Ukweli ni kwamba umeoa kikongwe sasa we ulitaka akuambie kuwa umeoa kindimndim wakati ni bibi..kama unamsaidia we msaidie lakini ukweli ndo huo kuwa uliyeoa sio your age neighbour.
 
Mapenzi hayachagui umri, Kama yupo jimama anataka kijana mdogo npo hapa#Team majimama
 
Mkuu hao wako pamoja kupeana mahaba tu..Sidhani kama wanafikiria watoto
Why not. hatuna haja ya kuwasemea sana. Tuwaache wafurahie mapenzi yao.
j.png
 
Wadau nawasalimu,

Kuna mdogo wangu ambae wakati naoa aliendesha kampeni ya kunitangaza vibaya kuwa naoa mwanamke mzee, alizunguzuka kwa ndugu na jamaa akisema maneno hayo, ni kweli mke wangu amenizidi umri nina 34 yeye ana 55 hata hivyo tulipendana hivyo hivyo tukaamua kuoana, ndugu zangu wengi walipinga ndoa hiyo, upande wa mke wangu ndio ilikua balaa hasa watoto wa mke wangu walidai nimemuoa mama yao kwa sababu ya pesa lakini sikujali, tukafunga ndoa na tunaendelea kuishi kwa amani

Sasa, huyo mdogo wangu amejikuta yupo kwenye matatizo, nyumba anayoishi na familia yake inatakiwa kurudishswa kwa mmiliki wa awali baada ya mmiliki huyo kushinda kesi mahakamani dhidi ya mdogo wangu, ama alipe fidia kiasi cha million kumi na tano au aachie nyumba (kiwanja) ndani ya miezi sita awe amelipa pesa hizo, zimebaki wiki mbili ama Tatu ikamilike miezi sita na hajafanikiwa kupata pesa hizo, ni wazi kiwanja kinarudishwa kwa mshindi wa kesi

Hivyo amekuja kwangu kuniomba msaada wa hizo 15 million ili akomboe kiwanja chake, maana kwenye kesi wanamgombania kiwanja Ingawa yeye ndie amewahi kujenga hapo, hivyo panatakiwa kubomolewa kama atakosa pesa hizo, baada ya kunieleza tatizo hilo pia akamueleza mke wangu, mm kwa sasa hela zangu ziko kwenye mizunguko ila mke wangu yeye anazo na yupo tayari kumsaidia kama mm nikikubali na kutoa go ahead, ila nimekataa kwa udhalilishaji alionionesha wakati naoa

Huyu bwana mdogo alinidhalilisha sana wakati naoa huyu mwanamke, nimeshangaa sana leo anakuja kuomba msaada kwa huyu huyu mwanamke aliedai ni mzee kwamba nabemendwa na kadhalika,

Sasa yeye ameoa binti mdogo wanaelingana rika sasa ampe hizo pesa, mm nilikua nna maana yangu kuoa huyu mama, nimeshahangaika na masista duu sana nawajua ukiyumba kidogo tu anakimbia, sasa ngoja tuone huyu wa kwake kama kama atastahimili hii tufani

Wadau mlikua mnasemaje au tumsaidie tu?
Teh teh teh . Ona hii.
j.png
 
Wahenga walisema usimtukane mamba................
Msaidie mshenzi huyo cku nyingine ajifunze
 
Daaah sasa aliyeomba ushauri hataki kushauriwa tena....basi fanya kadri moyo wako unavokutuma
 
"....mm nilikua nna maana yangu kuoa huyu mama..."?!
 
hata mie naweza yeyote kikubwa ni maelewano tu. Hili la kumsaidia ndo la muhim zaidi, kuliko hata udugu wenu na kuoa kwako. Do it as a fundamental human character of generosity.
 
Msaidie mdogo wako, always huwa tunagombana ila undugu haufi kamwe
 
Leo kwake kesho kwako. Kwani hujawahi mkosea mtu? Hukuwahi samehewa?, safari yenu bado ni ndefu sana, tanguliza utu
 
Wadau nawasalimu,

Kuna mdogo wangu ambae wakati naoa aliendesha kampeni ya kunitangaza vibaya kuwa naoa mwanamke mzee, alizunguzuka kwa ndugu na jamaa akisema maneno hayo, ni kweli mke wangu amenizidi umri nina 34 yeye ana 55 hata hivyo tulipendana hivyo hivyo tukaamua kuoana, ndugu zangu wengi walipinga ndoa hiyo, upande wa mke wangu ndio ilikua balaa hasa watoto wa mke wangu walidai nimemuoa mama yao kwa sababu ya pesa lakini sikujali, tukafunga ndoa na tunaendelea kuishi kwa amani

Sasa, huyo mdogo wangu amejikuta yupo kwenye matatizo, nyumba anayoishi na familia yake inatakiwa kurudishswa kwa mmiliki wa awali baada ya mmiliki huyo kushinda kesi mahakamani dhidi ya mdogo wangu, ama alipe fidia kiasi cha million kumi na tano au aachie nyumba (kiwanja) ndani ya miezi sita awe amelipa pesa hizo, zimebaki wiki mbili ama Tatu ikamilike miezi sita na hajafanikiwa kupata pesa hizo, ni wazi kiwanja kinarudishwa kwa mshindi wa kesi

Hivyo amekuja kwangu kuniomba msaada wa hizo 15 million ili akomboe kiwanja chake, maana kwenye kesi wanamgombania kiwanja Ingawa yeye ndie amewahi kujenga hapo, hivyo panatakiwa kubomolewa kama atakosa pesa hizo, baada ya kunieleza tatizo hilo pia akamueleza mke wangu, mm kwa sasa hela zangu ziko kwenye mizunguko ila mke wangu yeye anazo na yupo tayari kumsaidia kama mm nikikubali na kutoa go ahead, ila nimekataa kwa udhalilishaji alionionesha wakati naoa

Huyu bwana mdogo alinidhalilisha sana wakati naoa huyu mwanamke, nimeshangaa sana leo anakuja kuomba msaada kwa huyu huyu mwanamke aliedai ni mzee kwamba nabemendwa na kadhalika,

Sasa yeye ameoa binti mdogo wanaelingana rika sasa ampe hizo pesa, mm nilikua nna maana yangu kuoa huyu mama, nimeshahangaika na masista duu sana nawajua ukiyumba kidogo tu anakimbia, sasa ngoja tuone huyu wa kwake kama kama atastahimili hii tufani

Wadau mlikua mnasemaje au tumsaidie tu?
Vipi jimama lako uliliruhusu kumpa hizo pesa mdogo ako?
 
bro huoni kwamba dogo anakupenda ndio hakupenda uoe mbibi, huo ndio ukweli, lipa wema kwa wema, japo uliona kama anakuharibia ndoa, but his love to you drove him to do that
 
Wewee kuwa katili kama hetler kwani hawezi kufa.Na atakuwa na discipline pale mtu ana kosa nyumba na hela.Ila ukimfadhili atajiona kama yeye anakubalika.Aende zake akafie mbele
 
Back
Top Bottom