Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

Haha mtu anakushambulia na taarifa imetolewa na hayo madude yaliporushwa mtu unajua kabisa sasahivi yanakuja hadi unajua muda gani zitakua zimefika wapi.

Jamaa sana sana alifanya tu psychological warfare kwa ile wiki baadae akatafuta tu kitu cha kumalizia,,,siku zote mwenye nia ya kuangamiza lazima afanye ambush
Hizo drone za Iran na nyinginezo mbn speed zake zinajulikana hayo masaa 8 hata wasingesema hata wewe kama ni mwelewa ungejua.
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.

Huu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Wewe ukabanjue wagonjwa hii vita na nani mwenye uwezo tuliza hizo kende mjinga mwenzangu😂
 
Kobazi wana hasira sana kusikia Saudia hayuko pamoja na Iran kwa sasa misikitini ni midahalo hiyo tu!
 
Israel iko kwenye readiness ya hali ya juu ndio maana ndegevita hazikauki angani zinafanya patrol, likizo za marubani wa kijeshi zote zimefutwa, missile defense forces zipo kwenye attention. Baada ya kushambulia ubalozi Israel ilijua kutakuwepo na majibu ikajipanga. Iran haikuwahi sema itapiga wapi na wapi na itapiga lini. Kama una ushahidi leta. Iran ilisema italipa kisasi, haikusema kivipi.

Ni intelligence ya Israel iliyoonyesha watarusha maana maandalizi yanaonekana, na missile warning systems zilionyesha tangu makombora yanafyatuliwa Iran hayajatoka kwenye anga lao. Engagement ikafanywa na jets za Israel, AD mbalimbali, melivita kama Saar 6, Patriot na kidogo silaha za washirika.

Yemen kuna makombora uchwara ya Iran. Zile cruise missiles zinadondoshwa hata na Apache helicopter. Silaha nzito za Iran hazipo Yemen wala Syria, na hata uko Yemen zimerushwa kutokea ila zimedondoshwa. Si ndio hizo zimepita Saudi Arabia.

Almost makombora yote ya Iran ni supersonic. Unataka supersonic yapi tena?
Kwahiyo hayo aliyorusha sio kitu kwa Israel, unataka mengine tena. Kumbe Iran ana makombora ya kinyonge hivyo. Omba Israel isirushe makombora uone precision na Iran haambulii kudungua kombora. Ngoja waamue hawa majamaaView attachment 2964610
Wewe baki una bweka tu kama mbwa koko 😄

Kwanza zinaitwa Hypersonic sio supersonic, pili Iran hakutumia hata Hypersonic Missiles alitumia Ghadir na Sajeel hizi zote range yake ni 2500.

Angetumia Hypersonic angewamaliza, afu Iran kapiga Military Target c huyo bwege Israel yeye target zake civilian na majumba 😄

Ona kipigo hicho alicho pokea kutoka kwa Iran
 
Kitendo cha kutumia tu Irone Dome kudungua hayo makombora ni hasara kwa Israel. Pia makombona yaliyotumwa sio yale sophisticated.

Pia kumbuka Israel amesaidiwa ku intercept hayo makombora na US, UK, France, Saudia na Jordan.

One vs six.
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.

Huu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
Figure za Iran kutumia dola millioni Mia thelathini umezitoa wapi? !

Marekani imesema wapi meli zao zilitungua ballistic missiles 6 zilizobaki zilitunguliwa air defenses za Israel.
Drone na Cruise missile ndio zilitunguliwa kwa ndege za US, UK, France, Jordan na Israel yenyewe.

Official statement 👇

Senior U.S. Defense Officials have now revealed that the Arleigh Burke-Class Guided-Missile Destroyers, USS Carney (DDG-64) and USS Arleigh Burke (DDG-51) were the Two Ships of the U.S. Navy that were in the Eastern Mediterranean and launched Standard Missile-3s (SM-3s) to Down between 4 and 6 Iranian Medium-Range Ballistic Missiles last night over Israel.

View: https://twitter.com/sentdefender/status/1779574395473723430?t=q2cTzSHjXYZcZ2jEjMSYDA&s=19
 
Kwamba, mabomu yote yale aliyofyatua Irani, hayajafanya chochote? Israel kamfanyia dharau Irani

Siku zote Irani huamini kwamba, Israel ni mnyonge wake, hawezi na hatoweza kumpiga miaka milele

Iran ukimwangalia, ni kama amejiweka kwenye nafasi za USA huko na siyo nchi kama Israel na kwamba, ikitokea mechi ya USA na yeye, angalau hata jasho laweza kumtoka

Wakati akiendelea kuamini hicho, Anayeaminigi kuwa ni mnyonge wake, alichomfanyia juzi, ni masikitiko

Maandalizi ya kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya balozi zake pale SYRIA yaliyofanywa na Majeshi ya Israel na kuuwa makamanda wengi wa Ki Irani, yamefanyika kwa wiki nzima na siku

Bila ya shaka maandalizi hayo, Irani aliyaandaa na akiamini atakapo fyatua mabomu, Lengo ni kuisambaratisha kabisa Tela Aviv

Kilichotokea, ndio hiki nimekiita kuwa, unayekuwa ukiamini ni mnyonge wako unapotupa ngumi kali halafu akaikwepa, inabidi ujiulize mara mbili mbili

Gharama yote ile iliyotumika na Irani halafu haijaleta dhara lolote, halafu Israel kamdharaaau na hata hana shida naye huku akiendelea kuwatwanga Gaza, ujue hizo ni dharau kubwa sana dhidi ya Irani

IRAN Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi mengine kwa Israel ili angalau ashituke
1. Usiombee vita ya Iran na Israel (US na washirika karibu wote wa NATO isipokuwa Uturuki). Pili, tukio la juzi kama si US, France na Uingereza basi Israel kungekuwa na story ngumu. Biden alisema, wameisaidia Israel kuangusha karibu makombora yote! Tatu, Iran kafanya mashambulizi ambayo intel za Israel, US na wengine walijua. #Potezea wakubwa wanapofanya tragic drama.😀😀😀🙏🙏🙏
 
Wewe baki una bweka tu kama mbwa koko 😄

Kwanza zinaitwa Hypersonic sio supersonic, pili Iran hakutumia hata Hypersonic Missiles alitumia Ghadir na Sajeel hizi zote range yake ni 2500.

Angetumia Hypersonic angewamaliza, afu Iran kapiga Military Target c huyo bwege Israel yeye target zake civilian na majumba 😄

Ona kipigo hicho alicho pokea kutoka kwa Iran
Hahahahaha... Mzeee ukiongopa Uwe na kumbukumbu. Mbona hizo Truck kwenye video yako ni za Urusi 😂😂😂😂😂

BADO HUJASEMA😂😂

Nakuwekea satellite photos kabisa sio video za kuunga unga😂


View: https://twitter.com/MenchOsint/status/1779601125815046279?t=jwCWz2KTx8FX2dJ2TwnBAg&s=19
 
1. Usiombee vita ya Iran na Israel (US na washirika karibu wote wa NATO isipokuwa Uturuki). Pili, tukio la juzi kama si US, France na Uingereza basi Israel kungekuwa na story ngumu. Biden alisema, wameisaidia Israel kuangusha karibu makombora yote! Tatu, Iran kafanya mashambulizi ambayo intel za Israel, US na wengine walijua. #Potezea wakubwa wanapofanya tragic drama.😀😀😀🙏🙏🙏
Mkuu, siombei vita Aiseee

Hata hivyo, hao Sjui US, UK, France n.k, Ni kiherehere chao tu na wala hawakuombwa na Israel
 
Hamas alishaonyesha namna njema ya kumshambulia Israel. Alirusha kombora 500 na zaidi bila taarifa. Sasa Iran ipo mbali na Israel kama alitaka kushambulia why hakurusha kutokea Yemen kwa washrika wake? Iran ana makombora ya supersonic why hakurusha hata moja kwenda kusumbua ngome?
Labda ilikua umelala wakati watu tukiwa tunafatilia live. Iran na vibaraka wake wote walirusha makombora, Makombora yalirushwa kutokea Lebanon, Houthi, Iraq, Syria.


View: https://twitter.com/visegrad24/status/1779605688315982101?t=AGESlSg9QHuG7UfhOHeCSg&s=19


Halafu ballistic missiles hazitembei kwa speed ya supersonic pekee Bali zinafika Hadi Hypersonic speed mfano Shaheeb ambazo Iran alirusha juzi.
 

Attachments

  • 20240415_224258.jpg
    20240415_224258.jpg
    163.2 KB · Views: 0
Upunguze chai mkuu.
Iran makombora alotumia ni ya ujazo mwepesi na ni unguided missiles ya medium range.
Bado ana makombora ambayo mazito na ni magumu ku intercept baadhi anayatumia Hizbollah na ndio aliyoyatumia February dhidi ya Kambi za Israel Kaskazini mwa Israel.
Usim underestimate hivyo Iran.
Iran katumia hadi Emad medium range ballistic missile ambazo ni liquid fueled. Nazo zimedunguliwa wakati ndio hizo anaficha kwenye underground facilities maana yake ni silaha ya ubora mkubwa kati ya walizonazo
1000342912.jpg


Kama unaamini Hezbollah ndio ana makombora ya uwezo mkubwa kuliko Iran mwenyewe unakuwa kama hujielewi. Iran anayo mazuri zaidi, ila makombora 300 iliyorusha hayajaua wala kuharibu zaidi ya minor damage. Israel haiwezi rusha makombora 300 msihesabu maiti na uharibifu mkubwa.

Tofauti ni kwamba Israel ikirusha Iran inaweza isiambulie kudungua hata kombora moja tu. Na hayo mazuri zaidi ya Iran mengi yake yanazuilika.
 
Iran katumia hadi Emad medium range ballistic missile ambazo ni liquid fueled. Nazo zimedunguliwa wakati ndio hizo anaficha kwenye underground facilities maana yake ni silaha ya ubora mkubwa kati ya walizonazoView attachment 2964666

Kama unaamini Hezbollah ndio ana makombora ya uwezo mkubwa kuliko Iran mwenyewe unakuwa kama hujielewi. Iran anayo mazuri zaidi, ila makombora 300 iliyorusha hayajaua wala kuharibu zaidi ya minor damage. Israel haiwezi rusha makombora 300 msihesabu maiti na uharibifu mkubwa.

Tofauti ni kwamba Israel ikirusha Iran inaweza isiambulie kudungua hata kombora moja tu. Na hayo mazuri zaidi ya Iran mengi yake yanazuilika.
Vikombora vilidakwa na Arrow 3 kama kipanga anavyodaka njiwa😂😂
 
Wewe baki una bweka tu kama mbwa koko 😄
Ona hii nguruwe pori
Kwanza zinaitwa Hypersonic sio supersonic, pili Iran hakutumia hata Hypersonic Missiles alitumia Ghadir na Sajeel hizi zote range yake ni 2500.
Kwanza nilikuwa na-quote, niliyemquote kataja supersonic na ndio nimejibu, kwakuwa wewe ni ngumbaru hujui unabishana nini.

Pili, Iran hana hypersonic missile. Najua hujui maana ya hypersonic missile ila unadhani unajua. Taja hypersonic missile ya Iran unayoijua wewe.

Tatu, range sio kitu kwenye madhara, unacholenga kumaanisha ni kwamba kombora la range kubwa ni la kisasa zaidi si ndio? Israel imeua makamanda wa Iran kwa mabomu hata 100km hayaendi. Kama Iran haiwezi lenga shabaha kwa 2500 miles, kwa 4000 miles je?

Nenda Russia tazama Iskander-M ina range ya 500km tu ila ina accuracy na speed inaheshimika. Ukileta hayo makombora uchwara ya Iran yenye 2500 miles na yanalipua rami utachekwa.

Tena kombora lenye range ndogo linatakuwa liwe na shabaha kubwa na CEP ndogo. Sasa Iran inatumia kombora la range ya 2500 alafu inaambulia kujeruhi binti na kupiga rami uwanjani huo si ni upumbavu?
Angetumia Hypersonic angewamaliza, afu Iran kapiga Military Target c huyo bwege Israel yeye target zake civilian na majumba 😄

Ona kipigo hicho alicho pokea kutoka kwa Iran
Military target gani Israel imepigwa. Israel ikipiga military target inaua wahusika na kuharibu zana. Nyinyi mnajeruhi binti na kuharibu rami ya airbase. Eti mnashambulia airbase ya Negev alafu makombora yanaisha ndege zinaruka kawaida, bulldozer zinafukia vishimo eti hapo mmeshambulia military target😂

Waulize Egypt mwaka 1967 Israel iliposhambulia airbases zao zote kama kuna ndege iliamka pale.
 
Israel katumia Dola BILION 1.3 kujilinda.

Iran katumia Dola Million Mia Thelathini.

Mashambulizi ya Iran hayakua na lengo la Kuumiza Israel, yalikua na Lengo la Kupima Ulinzi wa Anga wa Israel.

Israel kalindwa zaidi na US, UK ,Franc na Jordan.

Huu mzozo, msiuchukulie kawaida.

Iran karuhusiwa kuishambulia Israel Toka Kwa haohao URUSI NA UCHINA.

Ulaya, UK , NATO na US, hawana Uwezo Kwa Sasa wa kuanzisha vita maeneo matatu Kwa wakati Mmoja.
UK,USA na Israel ndio haohao unaposema amesaidiwa au amejisaidia
 
Vikombora vilidakwa na Arrow 3 kama kipanga anavyodaka njiwa😂😂
Nimeumia nilitaka angalau Israel wafe watu kama 20 hivi wa kutolewa kafara. Jamii ikasirike ishinikize serikali ilipe mashambulizi. Sikuwa na wasiwasi nilijua kipigo kikali kutafuata vinu vya kinyuklia vya Iran viangamizwe. Sasa ona makombora zaidi ya 300 hayajaua hata mbwa, unaanzaje kuwashawishi raia wa Israel kipigo kikali kiifuate Iran?

Yani Iran ina makombora uchwara namna hii.
 
Back
Top Bottom