... yap! Jeshi letu la polisi litoe elimu kwa makundi ya wananchi ambao wako hatarini kukutana na $ fake including dada zetu wa "night kali".Inabidi masista duu wapewe elimu jinsi ya kutambua fake dollars
Hapo ni wafu kwa wafu.haijawahi kuwa salama hata siku mojaBhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Kwaio huyo jamaa wa Landrover ni naniLabda Mimi nimesoma vibaya....sijaona aliposema alirudi kwenye gari....
Baada ya maduka yote ya kubadili fedha kufungwa kuna vichochoro kibao vya siri vya kibadili fedha ambavyo sio halali, so hio ndio pona yake mana hawana pa kumshitaki nao ni wahafu tu wanabadili fedha kimagendo, la sivyo saiz angekua ananyea debe.Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Hivi wewe jamaa utaacha lini kutunga uongo
Bureau gani inabadili fedha za kigeni siku hizi? Natambua Bureau zote zilifungwa kipindi cha Magufuli na sasa hivi ukitaka kubadili fedha lazima uende bank.
Hivi hiyo kitaalamu mnaokula masikhara mnaitaje?
Mbinu gani imetumika?
Aisee Dada wa watu ukute karudi chongo na jicho lishamegwa.Mbinu ya kimedani na mara nyingi hadi tunu ya taifa inakua imeliwa
Ushadesa kwangu Mkuu.Hiyo kitaalam inaitwaje?
π π πHivi wewe jamaa utaacha lini kutunga uongo
Looh mkuu upo? Za tangu Mzumbe?Ushadesa kwangu Mkuu.
Sio poa nimekumaindi balaa.