Alichofanya Magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 matunda yake ndo tumeanza kuyaona jana terehe 10/6/2023

Artifact Collector

JF-Expert Member
Mar 7, 2019
6,539
10,007
Mwaka 2020 kwenye uchaguzi wa Tanzania kulifanyikia uharamia ambao hakuwah kufanyika kwa mtu ambaye mara kwa mara utamuona jumapili akiomba aombewe

Bunge la chama kimoja lilikua ni lengo na matamanio ya magufuli lengo ni kuhakikisha jambo lolote lile atakalopeleka bungen hakuna atakayepinga ila badala yake jana rais samia ametumia kile ambacho lilikua lengo la magufuli leo hii bunge halipiganii maslah ya wananch bali ya serekal

Kutokuogopa wananchi
CCM kamwe haiogopi tena watanzania ujasiri huo magufuli ndo aliupitisha rasmi pale 2020 alipoiba mchana kweupe kura bila kificho huku watanzania wakimpongeza na wengine wakiumia huku hawana cha kufanya, hata rais aliyeko sasa ana hakika atakua rais mpaka 2030 labda Mungu aingilie kati

Kitu ambacho watanzania waelewe haki aliliwi mitandaon au kwa maneno matupu inapiganiwa na ni mpango wa mda mrefu
 
Kaburu Botha alisha wahi sema kwamba "mwafrika hawezi kujitawala"

Ifikie muda tukubali kwamba waafrika siku tukishimda vita juu ya ubinafsi tutakuwa tumepiga hatua muhimu sana katika bara letu.
 
Kaburu Botha alisha wahi sema kwamba "mwafrika hawezi kujitawala"
Ifikie muda tukubali kwamba waafrika siku tukishimda vita juu ya ubinafsi tutakuwa tumepiga hatua muhimu sana katika bara letu.
Kila mtu analaumu huku akiwa ya nyuma ya keyboard anategemea kuna watu watampigania
 
Upo sahihi ✔️. Na hii ilikua mpango maalum wa kuondoa upinzani bungeni ili agenda ya Atake asitake tutaa... Muongezeaaaa ikamilike bila vikwazo vya wapinzani!! That's why unaona kbs speaker wakat ule alitoa ahadi kwa wabunge kua azimio hilo kikao kijacho Mzee kessy aje nalo maan naamin wabunge wote mtatudi hapa, Atake asitake tutaa... Muongezeaaaa!!!
 
Upo sahihi ✔️. Na hii ilikua mpango maalum wa kuondoa upinzani bungeni ili agenda ya Atake asitake tutaa... Muongezeaaaa ikamilike bila vikwazo vya wapinzani!! That's why unaona kbs speaker wakat ule alitoa ahadi kwa wabunge kua azimio hilo kikao kijacho Mzee kessy aje nalo maan naamin wabunge wote mtatudi hapa, Atake asitake tutaa... Muongezeaaaa!!!
Ubinafsi ni tatizo kubwa kwa waafrika alitaka bunge liwe la chama kimoja kwa maslai yake binafsi matokeo yake hayupo ila limekua mwiba kwa watanzania
 
Mwaka 2020 kwenye uchaguzi wa Tanzania kulifanyikia uharamia ambao hakuwah kufanyika kwa mtu ambaye mara kwa mara utamuona jumapili akiomba aombewe

Bunge la chama kimoja lilikua ni lengo na matamanio ya magufuli lengo ni kuhakikisha jambo lolote lile atakalopeleka bungen hakuna atakayepinga ila badala yake jana rais samia ametumia kile ambacho lilikua lengo la magufuli leo hii bunge halipiganii maslah ya wananch bali ya serekal

Kutokuogopa wananchi
CCM kamwe haiogopi tena watanzania ujasiri huo magufuli ndo aliupitisha rasmi pale 2020 alipoiba mchana kweupe kura bila kificho huku watanzania wakimpongeza na wengine wakiumia huku hawana cha kufanya, hata rais aliyeko sasa ana hakika atakua rais mpaka 2030 labda Mungu aingilie kati

Kitu ambacho watanzania waelewe haki aliliwi mitandaon au kwa maneno matupu inapiganiwa na ni mpango wa mda mrefu
Magufuli anaingiaje hapo Tena. Acha ujinga
 
Mwaka 2020 kwenye uchaguzi wa Tanzania kulifanyikia uharamia ambao hakuwah kufanyika kwa mtu ambaye mara kwa mara utamuona jumapili akiomba aombewe

Bunge la chama kimoja lilikua ni lengo na matamanio ya magufuli lengo ni kuhakikisha jambo lolote lile atakalopeleka bungen hakuna atakayepinga ila badala yake jana rais samia ametumia kile ambacho lilikua lengo la magufuli leo hii bunge halipiganii maslah ya wananch bali ya serekal

Kutokuogopa wananchi
CCM kamwe haiogopi tena watanzania ujasiri huo magufuli ndo aliupitisha rasmi pale 2020 alipoiba mchana kweupe kura bila kificho huku watanzania wakimpongeza na wengine wakiumia huku hawana cha kufanya, hata rais aliyeko sasa ana hakika atakua rais mpaka 2030 labda Mungu aingilie kati

Kitu ambacho watanzania waelewe haki aliliwi mitandaon au kwa maneno matupu inapiganiwa na ni mpango wa mda mrefu
Kwani ulikuwa wapi; wakati wa Kikwete bunge linapitisha mikataba 100 ya wachina ilifika mpaka saa 7 usiku,wabunge wakuchangia alibakia Lisu na Myika wabunge wote walisinzia wakabaki kusema ndio mikataba yote ya kuuza gesi ikapita, Wabunge wa upinzani hawajawai kuzuia mswaada wa Serikali kupita labda kelele tu ndicho walichokuwa wakikifanya kila Lisu na Myika, mpaka Lisu alifika kupinga mswaada wa Serikali wa kuvunja mikataba ya kinyonyaji ya madini,kwa kutetea Barick na accecia ndio Magufuli akaona huu sasa ni upuuzi, upinzani gani haujali maslahi ya taifa?hapo ndipo akaamua kubaki na ccm tu,wapinzani hawajawai kuzuia jambo lolote la ccm ambalo walilitaji.
 
Kwani ulikuwa wapi; wakati wa Kikwete bunge linapitisha mikataba 100 ya wachina ilifika mpaka saa 7 usiku,wabunge wakuchangia alibakia Lisu na Myika wabunge wote walisinzia wakabaki kusema ndio mikataba yote ya kuuza gesi ikapita, Wabunge wa upinzani hawajawai kuzuia mswaada wa Serikali kupita labda kelele tu ndicho walichokuwa wakikifanya kila Lisu na Myika, mpaka Lisu alifika kupinga mswaada wa Serikali wa kuvunja mikataba ya kinyonyaji ya madini,kwa kutetea Barick na accecia ndio Magufuli akaona huu sasa ni upuuzi, upinzani gani haujali maslahi ya taifa?hapo ndipo akaamua kubaki na ccm tu,wapinzani hawajawai kuzuia jambo lolote la ccm ambalo walilitaji.
Magufuli akaona huu sasa ni upuuzi, upinzani gani haujali maslahi ya taifa?hapo ndipo akaamua kubaki na ccm tu,wapinzani hawajawai kuzuia jambo lolote la ccm ambalo walilitaji. Umebadili matumizi ya KICHWA???
 
Magufuli akaona huu sasa ni upuuzi, upinzani gani haujali maslahi ya taifa?hapo ndipo akaamua kubaki na ccm tu,wapinzani hawajawai kuzuia jambo lolote la ccm ambalo walilitaji. Umebadili matumizi ya KICHWA???
Nilini upinzani ulizuia ccm kupitisha mambo yao toka enzi za akina Mrema 1995,?naona Wewe umeanza kuangalia bunge juzi la akina mbowe.
 
Back
Top Bottom