[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Labda baby wangu je!?acha tushuhudie fumanizi la weekend[emoji23] [emoji23]
Alibakari weka id kama kweli unam trust huyo mrembo Wa jf!
Bahati nzuri hana tabia za kuomba hela, kwa hilo namsifuz sio kama mabinti wengine kuweka mbele njaa kuliko utuUlishawahi onana live nahuyo mrembo Wa jf vipi muonekano wake ulivutiwa na nini zaidi!
Ushawahi mtumia M-PESA ama tigopesa?alikuomba?
Nimekupa vizuri MkuuNimejifunza mengi sana miongoni mwa hayo ni
1. Usimdharau usiemjua
2. Msaidie mwenye kukuomba msaada
3. Ulimwengu huu huwezi kumridhisha kila mtu
4. Usimtuaini binadamu mwenzio
5. Simamia unaloamini kwenye kutafuta
6. Kama kweli unataka kufanikiwa achana na starehe wakati wa kutafuta
7. Muomba Mungu hachoki
8. Ukijaaliwa kupata wakumbuke na walio chini yako
9. Sio kila aliekaribu na wewe anapenda maendeleo yako
10. Usidhulumu na unapomkosea mtu muombe msamaha haraka, maana dua ya aliedhulumia hairudi nyuma.
Ukiwa hivyo shombeshombe yani mulatto kama ulivyodai,kumekuwa na dhana kuwa familia za kiarabu hata Wa kuchovya huwa na ubaguzi hasa kwa weusi,nini maoni yako?Niko vizuri kiasi kwani kuna kipindi niliwahi kupewa mtaji mdogo na mmoja kati ya madada zangu, nilifanya vizuri, nilikuza na mtaji lakini ilinilazimu niache ili kuendelea na masomo.
Mkuu Depo ulipiga wapi?Bahati nzuri hana tabia za kuomba hela, kwa hilo namsifuz sio kama mabinti wengine kuweka mbele njaa kuliko utu
Sio kweli hakuna ubaguzi, ukweli ni kwamba vijana wengi huwa wanaingia kwenye familia za watu kwa lengo la kuchovya tu ili kujua ladha za mabinti hao, wakishajua ladha wanapotea, hakuna mzee anaependa mwanawe aharibikiwe na ndio maana familia nyingi za kiarabu utakuta baba aidha binti yake atamuozesha kwa mtoto wa rafiki yake au kwa mwarabu mwenziwe ambae anajua anauwezo wa kuoa.Ukiwa hivyo shombeshombe yani mulatto kama ulivyodai,kumekuwa na dhana kuwa familia za kiarabu hata Wa kuchovya huwa na ubaguzi hasa kwa weusi,nini maoni yako?
Duh! Hapana sikufika hukoMkuu Depo ulipiga wapi?
Una ndoto gani na nini unafanya kuifikiaSio kweli hakuna ubaguzi, ukweli ni kwamba vijana wengi huwa wanaingia kwenye familia za watu kwa lengo la kuchovya tu ili kujua ladha za mabinti hao, wakishajua ladha wanapotea, hakuna mzee anaependa mwanawe aharibikiwe na ndio maana familia nyingi za kiarabu utakuta baba aidha binti yake atamuozesha kwa mtoto wa rafiki yake ai kwa mwarabu mwenzio ambae anajua anauwezo wa kuoa.
Ha ha ha...umesema umeoa pia unawatoto je mnaishi pamoja au sehemu tofauti?Duh! Hapana sikufika huko
Ndoto zangu kwa hapo baadae ni kuwa mfanyabiashara mkubwa/engineer, ambapo kwa hivi sasa bado napigana kwenye electronics kuumiza kichwa ili hapo baadae nije kubuni kifaa kitakachoendana na technology ya wakati huo.Una ndoto gani na nini unafanya kuifikia
Naishi na familia yanguHa ha ha...umesema umeoa pia unawatoto je mnaishi pamoja au sehemu tofauti?
[emoji122] [emoji122] [emoji122] unakumbana na changamoto zip vip unatoboa?Ndoto zangu kwa hapo baadae ni kuwa mfanyabiashara mkubwa/engineer, ambapo kwa hivi sasa bado napigana kwenye electronics kuumiza kichwa ili hapo baadae nije kubuni kifaa kitakachoendana na technology ya wakati huo.
Changamoto ni nyingi sana, maana kila ukiumiza kichwa ubuni kitu gani unakuta mataifa yalioendelea tayari washakibuni na tayari si ndani ya muda mrefu kinainhis sokoni[emoji122] [emoji122] [emoji122] unakumbana na changamoto zip vip unatoboa?
Nakumbuka mwalimu wangu wa electronics siku moja aliwahi kuniambia "Kwenye electronics dakika moja inaweza kukufanya kuwa tayari au maskini" nimeamini kauli yake[emoji122] [emoji122] [emoji122] unakumbana na changamoto zip vip unatoboa?
Naona Dj Sepetu hukupenda hata kujua haliyangu? Niko vizuri kiafya namshukuru Mungu
Pengine labda naumwaHa ha haaaaa
Hii kali
Maana ungekuwa haupo mzima husingekubali kuhojiwa leo😀
Asalaam sheikh.... Unasema alikuwa kajaa nini?Iliharibika kweli.
Huyo binti alikuwa ni mzuri shombe shombe hivi, halafu alikuwa anaishi peke yake na hakuwa na bwana, then amejaa zile neema[emoji38] [emoji23] lakini ilibidi nisimamie maslahi yangu. Vizuri ni kwamba ukijua unachokitafuta hupati shida.
Hao mafundi wengine wanaotumia hizo kama fursa kikawaida huwa kipato chao hakizidi na badala yake kinapungua.
Sipendi kubishia jibu lako,lkn si la kweli.Naishi na familia yangu