Ali Kiba - Lupela

Unayemdharauje Adam Juma wakati hujawahi kuwa hata director wa video za Harusi? Punguza ufala kijana
 
VIDEO YA AIYOLA IMEFANYWA NA GOODFATHER, SOUTH AFRICA
VIDEO YA LUPELA IMEFANYWA MAREKANI NA MADAIREKTA WAKUBWA TENA
HEBU CHEKI VIDEO KAMA YA CHRIS BROWN DONT JUDGE ME, CHECK VIDEO KAMA YA CHRIS BROWN DEUCE, CHECK VIDEO YA NELLY JUST A DREAM, N.K
GIVE IT A TIME.

WAKATI WEWE UNATANGAZA KUMDHARAU MTU, JIULIZE MKUU YEYE ANAKUTHAMINI?
NASHAURI USISEME UNAMDHARAU TU, KABLA YA KUSEMA HIVYO UNGEWAHI KUANDIKA HAPA KWAMBA BWANA ADAM BADILIKA KTK UTAYARISHAJI WA VIDEO ZAKO KWA KUFANYA MOJA MBILI TATU INGEKUWA POA.

LINGINE, TUSILALAMIKE VIDEO MBAYA, TOA MAONI YAKO, VIDEO IMEKOSEWA WAPI???? ILI NEXT TIME AJIFUNZE KAMA KUNA KOSA...
MTVBASE WAMEPOSTI VIDEO INSTAGRAM JANA HALAFU NYIE MNALALAMIKA,
MSHAURI MWENZIO ABADILIKE KAMA ANAKOSEA...

BUT TO ME, HIYO NYIMBO IMETULIA NA VIDEO NI BABU KUBWA......
WATZ MUMEZOEA KUONA GHOROFA, MAJI, MELI, BEACH.....KUNA SIKU MTU ATAFANYA VIDEO PORINI MTAIDISI...

SANAA KAMA TAWI LA FASIHI HUBURUDISHA, HUELIMISHA N.K
 
Tekno, Davido, Wiz Kid ni wakubwa sana kwa Diamond, na hawezi kuwafikia hili tuongee kwa uwazi tu...

Tukiacha mambo ya tuzo, hebu tujiulize ni lini Diamond alienda kupiga show West Africa (acha show za matukio) au South Africa au nchi yeyote ya Africa ukitoa huku East Africa?? Ila hao akina Tekno, Davido, Wiz Kid wanapiga show nchi mbali mbali na wote hao walishakuja Tz kupiga show pia... Diamond ni Msanii maarufu/mkubwa anayetokea East Africa ila si Msanii Mkubwa Africa...
 
najua utaipeenda utaiangalia kidizain hata kwa jicho moja utaichungulia ha ha sio makosa yako ni wivu tu unautesa moyo wako support kazi za wasanii wetu wa nyumbani unapoponda haisaidii kitu mkuu
 
Bongo kume jaa wajuaji wasio jua ili video iwe nzuri unataka uone magari na magorofa?
by the way hakuna kizuri kwa wote . ukitaka kujua kma video ni nzuri au mbaya angalia YouTube kuna poll ya like na dislike utapata ukweli. Ova
 
kwani hiyo LUPELA imerekodiwa sehemu gani mkuu...
au huo ukumbi wanaodai ni wa holiwudi ni waTZ..?
kama ni waUSA basi nao walikodi ukumbi...
au kukodi ukumbi ni halali kuliko kukodi majumba..!?
wewe ni walewale mashabiki vilaza haya sasa video imetoka na ujumbe tumepata tulinde maliasili zetu kwa vizazi vijavyo hao wanaokodi majumba ya kifahali umechukuwa ramani siyo haya kajenge
 
wewe ni walewale mashabiki vilaza haya sasa video imetoka na ujumbe tumepata tulinde maliasili zetu kwa vizazi vijavyo hao wanaokodi majumba ya kifahali umechukuwa ramani siyo haya kajenge
JINA lako na AKILI zako vinafanana...
papiso!!!
 
Nashukuru kijana tutazidi kutoa elimu sababu hamna namna
badilisha kwanza hiyo avatar yako ukitaka uwape elimu watu wenye akili TIMAMU..!
avatar yako inajieleza kila kitu kuhusu uwezo wako wa KUFIKIRI..!
ahsanteh...
 
Kiba kwenye lupela kakurupukaa tusifiche ukweli tu
 
Naona jinsi moyo wako univyofura kwa hasira, kisa AJ kapongeza kazi nzuri iliyofanywa na Director mwenzie! hii ni zaidi ya chuki. I bet jamaa angeiponda hii video, ungekuwa mtu wa kwanza kuleta uzi hapa ukimsifu AJ kama director aliyetukuka, anayejua kazi yake barabara!

Namna hii mziki wetu unasafari ndefu! kwani kumpenda Diamond ni lazima umchukie Alikiba?
 
Naona jinsi moyo wako univyofura kwa hasira, kisa AJ kapongeza kazi nzuri iliyofanywa na Director mwenzie! hii ni zaidi ya chuki. I bet jamaa angeiponda hii video, ungekuwa mtu wa kwanza kuleta uzi hapa ukimsifu AJ kama director aliyetukuka, anayejua kazi yake barabara!

Namna hii mziki wetu unasafari ndefu! kwani kumpenda Diamond ni lazima umchukie Alikiba?
 
Sio kila video lazima zionyeshe mashori na magari ya kifahari na nyumba za ghorofa...

Hao Tembo ni kwasababu hii video imedhaminiwa na Wild Aid..

Hebu angalia hii video aliyodirect Eif Rivera moja kati ya directors wakubwa sana US.. Tatizo watu wanataka kama Chibu aliweka wazungu na magari kwenye video zake basi na Kiba afanye hivyo

 

Mkuu maneno yangu usiyachukulie serious, nachangamsha genge tu na simaanishi nachokisema hapa, ila kuna watu nataka kuona mapovu yao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…