Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
: Zamani ukiwa nje ya nchi ilikuwa shida kidogo kuelewesha mtu natokea Tanzania labda useme mt. kilimanjaro
Sikuhizi aaaaaah ICON tunae ukisema Diamondplatnumz unapigwa na bia moja watu weweeeeeeeeee hail to the king of Afropop and best performer all over the continent
hiv hapo na usher anakatika kama kaka etu hivo.. ingekuwa kuna video ndo tunge reason
Ni upopoma kuamini diamond ndio best performer Africa hii
Halafu inaonekana nyie mandezi mlimpigia kura katika kipengele kimoja tu ?
Mimi nikiwa nje ya nchi nasema ni Mtanzania then naonesha bendera ya taifa langu
Award it's a person thing not a country thing siwezi kujivunia bwamdogo
Mkuu sio kuchezaa...
Ni kunengua kama shilole na kuvua surual na kubaki na vyupi hahahaaaaaa.
Domo kwa stail yake iyo angekosa ningeandamana
Shuuuuuuuudu lote hilo ni stress, spit it out all usijeishia kujitundika
Wcb oyooooooooooooo wapi team kimbaaa, eti vote for flavour hahahah
wamekaaaaaa
Nijitundike for a person thing ? Inanihusu nini
Wewe ndio mtoa shuuudu ebu soma title ya thread then compare na maneno yako
Ukimaliza jiulize upo timamu kuandika mambo ya dai kwenye Uzi Wa Kiba
hahahahaha jomba mbona unapaniki hadi unaonyedha hadharani hahahaha poleni ndio chibu huyu bwana mtu mbaaaaaaaya sana hamta msahau kabisa alichowafanya jana
hahahahaha inakuwaje mkuu tunaorganise kwenda kumpokea Rais wetu nikukabidhi pikipiki moja?? maana kuepusha congestion tunataka tutumie zaidi pikipiki na wengine watakuwa ado ado eti wakuu Shardcole pwilo mnatufaa sana hapa na baby ake cute b
Unajua ww jamaa hujielewi sana
Kwani kiba alishiriki kwenye tuzo za mtv ?
Mpaka useme dai katufanya kitu kibaya
Unajua ww jamaa hujielewi sana
Kwani kiba alishiriki kwenye tuzo za mtv ?
Mpaka useme dai katufanya kitu kibaya
ingia insta mumuone mkewenu anavyoyarudi
Mtanyooka tu.. na bado
kuhusu kiba hawamfahamu so nikisema hata kwenye list ya kuchagua nominees alipigwa chini nampaisha..
Khaakhaaa mbona dai anaimba mwanadsm mwanzo mwisho
Najaribu kuattach video nafeli
Khaakhaaa mbona dai anaimba mwanadsm mwanzo mwisho
Najaribu kuattach video nafeli
abou sydou
mkuu acha kuasume eti ninatoa bendera hahahaha ndio maana kiba handelei kutokana na kuzungukwa na watu aina yako...
Diamond platnumz ndio habari ya Africa.. sahivi inabidi tupande dau mpaka 120 m kwa show bugati ileeeee
achani ujinga wakutujazia pages hapa mnakuwa washaambaaa kiasi hicho nendeni kwenye thread yake kule na mtuondoleee ujinga wenu hapa in king house