Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hiii imeshakuwa common adi sielew tunawakosea nini hawa watu...ujue hasira imenikaba adi natamani ningekuwa naishi na hawa ma mode jirani.

Yani comment zetu daily wanazifuta. Ina maana wametufanya fools wa hili jukwaa na huyo ansyefuta mbona analeta utoto. Ka hawapendi comments zetu waufunge Uzi kabisa. Ndo mana huwa naipenda Instagram haina shobo no ban. Yani mda wetu bundle zetu mda wetu wafute comments. Please Invisible #BringBackOurComments .
 
Last edited by a moderator:
Yani comment zetu daily wanazifuta. Ina maana wametufanya fools wa hili jukwaa na huyo ansyefuta mbona analeta utoto. Ka hawapendi comments zetu waufunge Uzi kabisa. Ndo mana huwa naipenda Instagram haina shobo no ban. Yani mda wetu bundle zetu mda wetu wafute comments. Please Invisible #BringBackOurComments .

Chukii tuuu...sielewi wana nini jamanii..duuuhh
 
Last edited by a moderator:
Niniiiiiiiiiiiiiii??? Inamaana tangu asubuhi tulikuwa tunafanya nini hapa?
Hiii nii zaidi ya chuki.
Adi natetemeka hasira.
Kwa nini coment zetu zifutweee? Invisible Moderator JAMII Forum.
Ni nini tumewakosea ninyi watu??
Mbona mnakuwa na tabia za kichuki juu yetu?....naichukia JAMII FORUM acha niangalie somewhere to go...
Sad

Tangia asubuhi watu walikua wanacheza makida makida kwenye uu Uzi.
Ina bore sana kiukweli na sio fair hapa tukiongea atasubiri ka week then atafta tena.
Comments hazina matusi yeye anafuta kwa interest zake binafsi. Ina bore sana jukwaa lenyewe wanataka kulidodesha ka mwazo Maxence Melo Invisible, Moderator tatizo ni nini linalofanya mfute comments zetu. Hii sio Fair kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Invisible tuambieni tunakosea wapi ili tuache.
Kama hatukosei kwa nini mnatunyanyapaaa?
Fungeni huu uzi tujue kitu kimoja
 
Last edited by a moderator:
Chukii tuuu...sielewi wana nini jamanii..duuuhh

Yani ina bore nadhani anayeongoza ili jukwaa sijui ana shida gani waufunge tu uzi mitandao ni mingi. Wasitufanye wajinga hapa. Yani matusi huwa wanayaacha ila comments ndo wanazifuta. Its boring mfyuuuuuuuuu zao.
 
Yani ina bore nadhani anayeongoza ili jukwaa sijui ana shida gani waufunge tu uzi mitandao ni mingi. Wasitufanye wajinga hapa. Yani matusi huwa wanayaacha ila comments ndo wanazifuta. Its boring mfyuuuuuuuuu zao.

Wamefuta tena
 
Wamefuta tena

Hahaaaaa waufute tu wote jukwaa bila comments si jukwaa Invisible wa hili jukwaa acha mambo yako ya ajabu sio sifa wala nini.
Kwanza bora tu kuacha Ku comments na hii futeni tena. Bila sie hicho kibarua mngrkipata. Its boring acheni hzo Fanya kazi yako kihalali. Uu ni ushabiki wa kipuuzi. Moderator.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaa waufute tu wote jukwaa bila comments si jukwaa Invisible wa hili jukwaa acha mambo yako ya ajabu sio sifa wala nini.
Kwanza bora tu kuacha Ku comments na hii futeni tena. Bila sie hicho kibarua mngrkipata. Its boring acheni hzo Fanya kazi yako kihalali. Uu ni ushabiki wa kipuuzi. Moderator.

Huu ni unyanyasajiiiii....
Alafu kumbe wanatusoma lakini wanakaa kimya...
Kwa nini wasituambie sababu ya kufuta coment zetu??
Nachukiiiiaaaa
 
Last edited by a moderator:
Diva Beyonce et nn kimetokea humu

Huu ni unyanyasajiiiii....
Alafu kumbe wanatusoma lakini wanakaa kimya...
Kwa nini wasituambie sababu ya kufuta coment zetu??
Nachukiiiiaaaa

Zaidi ya unyanyasaji inabore sana na kukera tunapoteza mda wetu wao ni kufuta comments. Huyo moderator aache ushabiki wa ajabu waufunge tu Uzi. Kwani sisi tumekuja kucheza nao au ? Mijitu mingine inabore.
Si ndo wanadai hili ni jukwaa guru mbona wanatufanyia hivi@Invisible acha hzo wewe usifikiri kua moderator ndo umefka sana na wewe ndo bora
 
Last edited by a moderator:
duh haya ngoja tusubirie hivyo anavyotaka yeye kama ni coment mbona kule kwa majirani hawafuti
 
Hellloooooo guys!! Hivi ni nini kinaendelea!! Mbona mie hata sielewi hizi mambo??? Modes whats hapening?
 
Back
Top Bottom