pole sana usijali mambo yatakuwa sawa
Asante Th Name.
Angalao njmeingia apa nimekutana na le king family now i cn smile
Last edited by a moderator:
pole sana usijali mambo yatakuwa sawa
Ooooh kumbe unamuangalia
Good boy
Hahaaaaa huyo kashakoma tayari kwa hilo shushu inabidi anywe juice ya limao na ukwaju juu.
Ndicho hicho ninachokisemaga, ndio maana wanafanya juhudi sanaaa kupunguza atention yetu kwa Kiba, lets not give them that room now, lets focus on wht brought us here.
Hayaaaa chekecha cheketuaaaaaa.
Jamaa anahojiwa hapa citizen ni safi kabisa,kachangamka...
Duu sijalipia king'amuzi sijui nitamwonaje king...
Wanafiki mliozoea ku capture screen kuhusu nimesemaje na hii chukieni mkanijadili.
pole ni party ya life hiyo : in kiba voice
Nadhani ulitaka kusema part of life. Sorry lkn najua hainihusu
cut b katika ubora wake haya lets go ila yule c dhani kama atarudi tena ila jamani kiba anapendwa saaanaaa yani cheketua video ilivyotoka cc tumeijadili hapahapa ila wao mpaka wameweka link humu mbona hatukuwaekea link wala kuwasumbua kwenye uzi wao et Th Name Diva Beyonce atoto shida nn hawa jamaa?????