Ali Kiba Fans' Special Thread...

Sijapaniki huo ndo ukweli niliokupa. Unapaniki hadi kuita watu wazima vibinti so shameee kabisa ongea ya maana.

La maana lipi kwanza alonalo la kuongea?!!!

Hayaaaa chekecha cheketuaaaa
 
unajua kibani habari nyingine nimeenda u tube nikaona nyimbo mpya ya mr blue na navio lakini jina wameandika cheketua ila video sio ni ya blue ile mpya wanataka wapate viewers kama siku ile walivyobadilisha code za tuzo

Hahahaaaaa watu wanajidai hawamkubali kiba lakini wanatujazia seva YouTube na wakati ata blue ameachia ngoma
 
atoto umeona alichoandika mazigazi kumbe wakija huku wanafuata nyie sasa si waseme kama wanafuata ma princess

Hahahahahah u know mademu wa huku wako so cheap hata kwa mihogo ya kuchemsha unawapata .

So mkuu vipi mbona unalalamika tunakubania chance nini?
Hahahaahah polee!!!
 
Last edited by a moderator:
Umeongea point dear walivoona video za u tube wakatamani na video yake iwe ya kukata mauno vibaya hadharani. Nashukuru kiba alikua mjanja hakuweka hayo mauno ka ya khanga moko mana ni kinyume na maadili na hapo pa kuchekechua pasingeonyeshwa.

Umeona eee kiba katisha bhanaa... sisi tunataka video zenye maadili kama walitaka za nyuchi imekula kwao kwa kiba no video za kunyegeshana au sio pwilo
 
Last edited by a moderator:
yaani zile camera zinavyomzungusha yule demu white aisee ni shida, watu wamebakia kutoa mijicho tu viva #mejialabi
 
yaani zile camera zinavyomzungusha yule demu white aisee ni shida, watu wamebakia kutoa mijicho tu viva #mejialabi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…