Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
Jamaniii mi nataka saule kama mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo
Mi nna mapenzi tele kama kwetu kule -
Wanao nitaka ni wengi ila kwako nyanga nyanga nyanga
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Aya chekecha
Chekecha (x11)
Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke
Masia Uluso kitaa Abu Daddy-
Penzi alinipa mama nami leo nakupatia tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna-
Mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia nami ntalia na wewe mimi kwako nyanga nyanga nyanga-
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka-
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Aya chekecha
Chekecha (x11)
Aya chekesha cheketua cheke chekecha cheketua -cheke chekesha cheketua cheke chekesha cheketua cheke
Yeah uuh cheke chekecha -aah heyiiii-