Heheh dude itakula kwake.
Chekecha ndio video ya watu inayosubiriwa kwa hamu.
Hata kama ikiwa mbaya (just in case ni kwa mfano tu) lazima itamzima tu or else asubirie youtube viewers wake wakiintaneshno!
nakwambia hiyo chekecha yenyewe alipewa ofa na abuu dady baada ya kuvujisha nyimbo zake angalia balaa lake lile na hakuwa sirious lakin sasa hiyo collabo ya bella inatoka na video pa1 #teamkibaaaaaa
kama mapenzi gorofa
yamejaa kariakoo
mi nnamapenzi tele toka
kwetu kuleeeeeeeeeee
wanaonitaka ni wengi
ila mm kwako nyang'anyang'a
ale chekecha chekecha cheketua #woyoooooooo
Wewe matumbo njoo kwa Legendary Sugu tuflash back huku usiwachefuwe wapendwa, leo tunaichambuwa Bongo Fleva ilikoanzia ili vijana wajifunze misingi ya huu muziki ulipotoka. Asiyejuwa Historia siku zote ni mtumwa.